PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
Fanyeni kazi vijana pesa zipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe kazi basiFanyeni kazi vijana pesa zipo.
Huyo ni mkuu wa mkoa analipwa mshahara kila mweziHuyu kijana anatoa wapi hela anazo gawa kienyeji hivi kama njugu.
We una niniRC ana takooo bana
Nina HOGOWe una nini
Mjadala ufungwe majibu umeyaweka tayari
Wa kabumbuUwanja upi mbona vipo viwanja vya kila aina?
Duh..aisee mbona sikuwahi jua hili mkuuRC ana takooo bana
Mapenzi ni mapenzi tu. Mkia kusifia mkia wa mwenzake siyo dhambi.Wadau kama kichwa kisemavyo..napatwa ukakasi kutafakari juu ya hali ya ghafla ya mahaba na ukaribu anaojaribu kuuonyesha Mkuu wa Mkoa was DSM na goli kipa wa Simba Aishi Manula..
Alianza kumsifia (japo kusifia sio dhambi) baada ya mechi na TP Mazembe Congo ambapo DAB alisema kiwango cha Manula kilimkuna hivyo angetoa zawadi..(japo kiuhalisia sidhani kama Manula alionyesha kiwango hiko cha uwezo.
Jana kwenye tuzo za Mo Simba Awards ..DAB ikasemekana angetimiza ahadi ya kumtunuku Manula zawadi yake ya kiwango kizuri kwenye game na Mazembe.(zawadi ilitangazwa milioni 5 na MCs wa sherehe hizo)
DAB alipopewa nafasi kutoa tuzo..akasema kuwa ataongeza pesa hiyo kutoka milioni tano hadi 10 sambamba na kutoa milioni 1 kwa kila mshindi wa tuzo..
Sababu za kuongeza pesa hiyo..eti kiwango cha Manula kimemkuna ghafla...
Atukatai mchezaji kupewa pongezo anapofanya vyema..but why inakuwa kwa staili hii??
Na hisi kuna..... Kanaendela kati ya hao wawili...
Ndo unalokaliaNina HOGO
Mshahara wa Mil 5 anatoa wapi mamilion hayo???Kwani ni za Serikali?
Mimi nadhani ni za kwake sio mbaya.
Sawa MkuuMshahara wa Mil 5 anatoa wapi mamilion hayo???
Na leo anafuturisha walemavu na macelebrity wa Dar. Hapa nshaazima magongo ya mlemavu niwahi siti ya mbeleMshahara wa Mil 5 anatoa wapi mamilion hayo???
Unaulizia virungu polisi au ?Wewe...unauhakika na hili??
Za wakuu wengine hazina pesaOfisi yake inapesa