filibert paul
Senior Member
- Oct 8, 2021
- 179
- 421
Ni 700k mpaka 650k humoBei yake?
Mkuu nimewahi kuomba ushauri wako hukunijibu. Kuna music system mbili tofauti nawaza kununua moja wapo,Kuna home theater ya SONY HT S20r 5:1hii bei yake ni 550k na Hi fi ya LG X boom CJ44 2:1 hii bei yake ni 650k. LG nimeisikilza ikiwa dukani,ina mziki umepangiliwa vizuri sana,SONY nimeikuta kwenye boksi kwahiyo sijasikia chochote.Naambatanisha picha hapa chini unishauri nichukue ipi.Hamna Subwoofer ya Kodtec ya 90k labda tule tudogo twa zamani twenye 50w! Za kati kwenda kubwa zina range kwenye 200K+!
Nimefuatilia na bei zake.
Hio tu niliopost huipati chini ya 350K mkuu.
Power wise hio sony ni ndogo compared na hio LG xBoom so hata quality ya mziki haitakuwa kubwa sana. I would advise you to go with LGMkuu nimewahi kuomba ushauri wako hukunijibu. Kuna music system mbili tofauti nawaza kununua moja wapo,Kuna home theater ya SONY HT S20r 5:1hii bei yake ni 550k na Hi fi ya LG X boom CJ44 2:1 hii bei yake ni 650k. LG nimeisikilza ikiwa dukani,ina mziki umepangiliwa vizuri sana,SONY nimeikuta kwenye boksi kwahiyo sijasikia chochote.Naambatanisha picha hapa chini unishauri nichukue ipi.View attachment 2474726View attachment 2474729
Asante mkuu,ila zote ni watt 400 RMSPower wise hio sony ni ndogo compared na hio LG xBoom so hata quality ya mziki haitakuwa kubwa sana. I would advise you to go with LG
Dungu jeshi
inakita balaa,hiyo bass ni kisanga, wanaoihitaji wawa siliane na mrisho, spika za tawer zipo black pia,nimekuta ameshusha mzigo leoTumaini lipo hapa π€£ mziki utakuwa wa kutosha familia nzima.
dungu la pioneer 200w rms,acha kabisa, nilitama nibebe hiyo bass, tatizo januaryDungu jeshi
bei yake?dungu la pioneer 200w rms,acha kabisa, nilitama nibebe hiyo bass, tatizo january
sijauliza hata mkuu, nimesikiliza nikapita hvbei yake?
Mkuu na hii ya kwangu inachezea kwenye frequency ngapi za Hz?Huu mziki ulikuwa kwa uncle yangu mmoja. Rip Jafet Mshana.
Huo ulikuwa unafika 2Hz kwa CD ila kwa tape unaanzia 40Hz mkito wake ulikuwa balaa aisee ukiskiza goma la Mr.Paul nakuzimia lile ilikuwa hatari tupu
tafuta real/ contionous power/rated power, hizo pmpo za uwongo sanaKweli Kaka coz Kuna Sehem niliona wameandika 2000w pmpo .
Hasa hata mie nafuatilia real specifications for each speaker mpaka frequency zake
DuuhHii bhana inaanzia 50Hz hadi 150KHz
Poa poa ndugu enthusiastHahahah mkuu mi sio wakala mimi ni Enthusiast! Naomba weekend kama una muda twende mguu kwa mguu mpaka ilipo hio kitu ukajionee kwa macho na upate kusikia mwenyewe, naamini utakuwa balozi mzuri πππ
Ubora wake sio wa mashaka!
mzee watts 200rms kwako ni kisanga??dungu la pioneer 200w rms,acha kabisa, nilitama nibebe hiyo bass, tatizo january