filibert paul
Senior Member
- Oct 8, 2021
- 179
- 421
Tuliposkia zimeisha na Sisi tunaisha😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weekend ijayo naitafuta kt 2912 na 2809 zote at once
Good luck
Ukipata duka wanalouza unijulishe nami[emoji4]
ilishsemwa humu hyo 2911 haina sound nzuri kivileBaada ya kukosa kodtec kt-2913 nimechukua kt-2911 maoni yenu wadau
Extrovert
Oya ulipata mzigo huo, najua upo KAHAMA, nimejaribu kufanya mazungumzo na KODTEC kahama wanasema hizo bidhaa kwasasa hazipo kabisa Hadi mzigo mwingine utakapokujaWeekend ijayo naitafuta kt 2912 na 2809 zote at once
Mimi nilizikosa ziliishaOya ulipata mzigo huo, najua upo KAHAMA, nimejaribu kufanya mazungumzo na KODTEC kahama wanasema hizo bidhaa kwasasa hazipo kabisa Hadi mzigo mwingine utakapokuja
KT model gani?Ya uongo hio sio kweli😂😂😂 ukiwa na sikio bovu huwezi jua tofauti, kaka ukiskia mziki wa kodtec unaweza ukataka uuze hio Sony kesho.
Walioiskia sound ya kodtec wananielewa vizuri.
Ipi bora kwa mikito, iwapo utapewa option ya kuchagua wewe hapo.?!Nakujibu kama ifuatavyo,
Kodtec kt 2913 uliyoanza nayo juu
Ina ,150 watts RMS (woofer 100rms+25watts x2=50rms watts satellites)
•Output power 150 Watt RMS
maana yake ni;
(Power distribution 25 Watt x 2 +100 Watt RMS
•Harmonic distortion 1% 1 Watt 1kHz
•Frequency range 30Hz - 20kHz
•Signal/Noise ratio 72dB
•Separation 50 dB
•Sensitivity 380mV
•Nominal Impedance 4ohms bass/4ohms satellite
Nakuja kwenye kodtec kt 2912 ya chini.
Hii Ina
- RMS:150W+50Wx2=250W(
woofer Ina 150rms afu satellites zina 50watts x2=100 =250 watts RMS
Dimension; Subwoofer:W313*H451*D464
- Driver: 8 inches+(4inches+2inches)*2
- Impedance: 4Ω
- S/N Ratio: 65dB
- Frequency Response: 30Hz~20kHz
Satellite Speaker: W140*H252*D210
TOFAUTI HAPO NI WATTS NA S/N DB
i.2912 ANA 250WATTS RMS KAMZIDI 2913 MWENYE 150 WATTS RMS
ii. 2913 ANA 72DB, KAMZIDI 2912 DB 65DB.
KWAIO NI MAAMUZI YAKO KUAMUA NA NDO MAANA ULIPOSIKIZISHWA ZOTE HAZIKUONYESHA TOFAUTI,.
Naomba model ya iyo KT.Hapo kwenye frequency response ndiko uchawi
ulipo. Yani ukishaona 3OHz-2OkHz ujue tu mzigo umegusa sakafu ya deep bass.
Yani anything O-3OHz ni msala. Sony mwenyewe ana kitu ametengeneza mwaka huu kinafika 35Hz na watu wanaisifia sana kuwa inaizidi JBL. Ni subwoofer kwa ajili ya deep bass.
Sasa imagine mtu anayechezea kwenye 3OHz kamili itakuwaje. Huyo ni Kodtec wazee acheni masihara jokes aside.
nataka hii niitafute niiongeze kwenye system yangu niitumie kama powered subwoofer kwenye 7.1 channel system.Kwa wale Music enthusiasts wenzangu last Weekend katika kuzurura katika viunga vya M.City i came across duka la Kodtec. Hawa jamaa wanauza appliances zao mbali mbali pale zikiwemo Subwoofers.
Kishindo cha mziki wenye vipimo madhubuti ambacho sikukitegemea kilipenya katika ngoma zangu za masikio na Ilibidi nizame chap kuuliza jamaa wanioneshe hicho kitu kinachotoa huo mziki. Cha ajabu ilikuwa ni subwoofer box moja hivi with sleek design.
Ukaguzi uliendelea na kuona ni subwofeer box yenye bass speakers 3! 2 Deep bass 12" Speakers kushoto na kulia wakati mbele kuna 10" Mid bass (woofer)! Hii subwoofer iko accompanied na Speaker ndogo za kupiga mid and high frequencies ambazo zinafanikisha hii Kodtec iwe super clear sound system.
Tukija kwenye wattage hii system ni 300Watts RMS value! Utaona kwamba Peak Music Power Output ni obvious itakuwa around 1200w! The bass effects that come out of this subwoofer ni exceptional you hear both boomy and dynamic bass effortlessly sijui wametumia amplifier aina gani humu ila mziki una sound kama mziki wa gari kabisa 😁😁😁!
Kimsingi nilikuwa naona subwoofer za 2.1 Channel ni utopolo ila sio kwa Subwoofer za Kodtec wazee, naomba niombe radhi kwa wamiliki wote wa Speaker Systems za Kodtec!
View attachment 1698253
UPDATE: Hii speaker ina bass radiators 2 kushoto na kulia ambazo ndio speaker mbili za ubavuni. Mbele ndio kuna Active Bass Speaker.
Kazi ya Radiators ni ku enrich bass frequency iwe deep bass. Ina maana za ubavuni haziko powered ila zina resonate na mapigo ya active speaker hapo mbele ili kuzalisha ile deep bass.
mimi nakushauri uchukue subwoofer ya gari hta pioneer 308/309/310d4 hpa unapata hadi 25hz na ni watts 400rms zote hzonataka hii niitafute niiongeze kwenye system yangu niitumie jama powered subwoofer kwenye 7.1 channel system.
hii nataka niichukue coz iko smart hata kimuonekano ikikaa ndani, muonekano wake hautofautiani sana na SVS labda au Bic, klipsch etc.mimi nakushauri uchukue subwoofer ya gari hta pioneer 308/309/310d4 hpa unapata hadi 25hz na ni watts 400rms zote hzo
mchawi ni box tu mzee ukipata fundi mzuri wa kuchonga cabinet , itakuwa njema sana.hii nataka niichukue coz iko smart hata kimuonekano ikikaa ndani, muonekano wake hautofautiani sana na SVS labda au Bic, klipsch etc.
sub za gari sidhani kama zinapendeza kukaa ndani japo zinaweza kutoa mziki mzuri pia.
Bei gani hizi mkuumimi nakushauri uchukue subwoofer ya gari hta pioneer 308/309/310d4 hpa unapata hadi 25hz na ni watts 400rms zote hzo
uhakika ni nairobi kma ksh6000-7000( 150000tsh) speaker tupu bila cabinetBei gani hizi mkuu
Ukiiweka na hio Sub ya Kodtec umemaliza kazi!hii nataka niichukue coz iko smart hata kimuonekano ikikaa ndani, muonekano wake hautofautiani sana na SVS labda au Bic, klipsch etc.
sub za gari sidhani kama zinapendeza kukaa ndani japo zinaweza kutoa mziki mzuri pia.