son_of_masia
JF-Expert Member
- Oct 5, 2015
- 378
- 264
Hii ndio nayotumia kwa sasa naona inapiga kelele tu baada ya kunipa burudani[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakujibu kama ifuatavyo,View attachment 2319139
View attachment 2319140
Kati ya hizi mbili ipi imezidi nyingine kwa perfomance na ubora?
Nilifika shop na kusikiliza zote ila sikufanikiwa kuona utofauti wowote
Nataka nijilipue nichukue mojawapo
Maana nimebadili mawazo ya jbl soundbar baada ya kuona kwa bei yke hizi zinaweza kuokoa jahazi.
Umezikuta dukani kwa bei gani mkuuView attachment 2319139
View attachment 2319140
Kati ya hizi mbili ipi imezidi nyingine kwa perfomance na ubora?
Nilifika shop na kusikiliza zote ila sikufanikiwa kuona utofauti wowote
Nataka nijilipue nichukue mojawapo
Maana nimebadili mawazo ya jbl soundbar baada ya kuona kwa bei yke hizi zinaweza kuokoa jahazi.
Nakujibu kama ifuatavyo,
Kodtec kt 2913 uliyoanza nayo juu
Ina ,150 watts RMS (woofer 100rms+25watts x2=50rms watts satellites)
•Output power 150 Watt RMS
maana yake ni;
(Power distribution 25 Watt x 2 +100 Watt RMS
•Harmonic distortion 1% 1 Watt 1kHz
•Frequency range 30Hz - 20kHz
•Signal/Noise ratio 72dB
•Separation 50 dB
•Sensitivity 380mV
•Nominal Impedance 4ohms bass/4ohms satellite
Nakuja kwenye kodtec kt 2912 ya chini.
Hii Ina
- RMS:150W+50Wx2=250W(
woofer Ina 150rms afu satellites zina 50watts x2=100 =250 watts RMS
Dimension; Subwoofer:W313*H451*D464
- Driver: 8 inches+(4inches+2inches)*2
- Impedance: 4Ω
- S/N Ratio: 65dB
- Frequency Response: 30Hz~20kHz
Satellite Speaker: W140*H252*D210
TOFAUTI HAPO NI WATTS NA S/N DB
i.2912 ANA 250WATTS RMS KAMZIDI 2913 MWENYE 150 WATTS RMS
ii. 2913 ANA 72DB, KAMZIDI 2912 DB 65DB.
KWAIO NI MAAMUZI YAKO KUAMUA NA NDO MAANA ULIPOSIKIZISHWA ZOTE HAZIKUONYESHA TOFAUTI,.
Umezikuta dukani kwa bei gani mkuu
Mimi najuaga nina mziki mnene Sony home theater dz350 1000w kumbe kuna vinu hatari?
Humo hamna mziki, ni dumu liliochangamka😂😂😂View attachment 2319144
Hii ndio nayotumia kwa sasa naona inapiga kelele tu baada ya kunipa burudani[emoji23][emoji23]
Tofauti yake ni almost unnoticed mi huwa nafurahia shape ya hio ya juu ambayo ni KT-2812!View attachment 2319139
View attachment 2319140
Kati ya hizi mbili ipi imezidi nyingine kwa perfomance na ubora?
Nilifika shop na kusikiliza zote ila sikufanikiwa kuona utofauti wowote
Nataka nijilipue nichukue mojawapo
Maana nimebadili mawazo ya jbl soundbar baada ya kuona kwa bei yke hizi zinaweza kuokoa jahazi.
Bado Naomba ufafanuzi sony dz350 sub woofer 165w na speakers zake tano kila moja ni 167w iyo kodtec sub woofer ni150w na speakers zake mbili zote ni 100w ambayo mnaisifia sasa hapo inakuaje kodtec hamzidi sony dz350?Bado kuna mashine za kwenda [emoji23][emoji23][emoji23] toka Kodtec,
Low end frequency response, hapo ndio Sony anazidiwa.Bado Naomba ufafanuzi sony dz350 sub woofer 165w na speakers zake tano kila moja ni 167w iyo kodtec sub woofer ni150w na speakers zake mbili zote ni 100w ambayo mnaisifia sasa hapo inakuaje kodtec hamzidi sony dz350?
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Hao jamaa ni shida yani wengi walizilenga na wanajua zinatafutwa kama lulu sahizi. Ujinga ni kuwa Kodtec hakuleta hizi redio kwa wingi ndio maana ziko adimu adimu.Mrejesho
Leo nimetoka kariakoo kwenye maduka mawili ya kodtec wameniambia mzigo wamemaliza wiki iliyopita na hakuna duka lolote wenye hizi kt 2912 au kt2913
Nimezunguka hadi kariakoo mall nimekosa
Kuna duka nimeziona ila hyo bei nimeishindwa jamaa wanauza 850,000 pale kariakoo naona zinashakuwa most wanted kwa sasa.
Kwa yoyote yule anayejua napoweza kupata anijulishe kwani hadi kule mlimani city hakuna hayo matoleo[emoji2]
Hao jamaa ni shida yani wengi walizilenga na wanajua zinatafutwa kama lulu sahizi. Ujinga ni kuwa Kodtec hakuleta hizi redio kwa wingi ndio maana ziko adimu adimu.
Kuna mwamba pale dukani iko sehemu sema anadai wanauza 6OOk.
Ya kiboya ile mi nilishaenda kuiskiliza, sasa mule kuna watts 2OOO kweli au wanatuona sie wehu. Haina maajabu zaidi ya kelele hata sea piano yangu ina mziki wa kueleweka kuliko ule ujingaImekuwa kisanga
Naona wauzaji wameamua kuuza bei juu baada ya kuona demand ni kubwa
Ile kt 2911 sijaipenda sound yake na ndio ipo kwa sasa[emoji3]
Ya kiboya ile mi nilishaenda kuiskiliza, sasa mule kuna watts 2OOO kweli au wanatuona sie wehu. Haina maajabu zaidi ya kelele hata sea piano yangu ina mziki wa kueleweka kuliko ule ujinga
.
Matoleo ya nyuma yote ni mazuri na yanakita kuliko ule uchafu wa 2911!
hta mimi nilihangaika sana kuipata 2913 , kqribu siku 2 nzima , nikafanikiwa kuipata 1 tu tena ilikuwa kma sample dukani[emoji16]Mrejesho
Leo nimetoka kariakoo kwenye maduka mawili ya kodtec wameniambia mzigo wamemaliza wiki iliyopita na hakuna duka lolote wenye hizi kt 2912 au kt2913
Nimezunguka hadi kariakoo mall nimekosa
Kuna duka nimeziona ila hyo bei nimeishindwa jamaa wanauza 850,000 pale kariakoo naona zinashakuwa most wanted kwa sasa.
Kwa yoyote yule anayejua napoweza kupata anijulishe kwani hadi kule mlimani city hakuna hayo matoleo[emoji2]