Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 5,067
- 4,434
hapa ulichemka snaaView attachment 2319144
Hii ndio nayotumia kwa sasa naona inapiga kelele tu baada ya kunipa burudani[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapa ulichemka snaaView attachment 2319144
Hii ndio nayotumia kwa sasa naona inapiga kelele tu baada ya kunipa burudani[emoji23][emoji23]
hiyo sony ni 167 w @ 3ohms, compare to 4ohm, frequence responce piaBado Naomba ufafanuzi sony dz350 sub woofer 165w na speakers zake tano kila moja ni 167w iyo kodtec sub woofer ni150w na speakers zake mbili zote ni 100w ambayo mnaisifia sasa hapo inakuaje kodtec hamzidi sony dz350?
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
hta mimi nilihangaika sana kuipata 2913 , kqribu siku 2 nzima , nikafanikiwa kuipata 1 tu tena ilikuwa kma sample dukani[emoji16]
acha niende kula vinu sasa
nb. nikifanikiwa kuunda mziki wangu nitakuuzia kwa 500000tsh( jokes).
ebhanaaa eeeh niko hii pub ya ghorofani hpq stand kubwa moshi mjini, kuna kishindo ile laana ujue kishindo haswaaaaa daaahh mamaeeeeeee , nimechungulia juu juu nimeona mids za pionner 2 zile za gari(6by9)Hay mkuu kula vinu vikali kwa bei sadalaa
Angalia kwenye bass frequency response kama huyi Sony dz350 ana 30hz or below Ili amzidi kodtec..upoo!!Bado Naomba ufafanuzi sony dz350 sub woofer 165w na speakers zake tano kila moja ni 167w iyo kodtec sub woofer ni150w na speakers zake mbili zote ni 100w ambayo mnaisifia sasa hapo inakuaje kodtec hamzidi sony dz350?
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Mwamba utakuwa umejaza redio ndani dah una sea piano, Kodtect, HT ya sony, na ile nyingine yenye speaker 2 za low frequency ni fireeeeeYa kiboya ile mi nilishaenda kuiskiliza, sasa mule kuna watts 2OOO kweli au wanatuona sie wehu. Haina maajabu zaidi ya kelele hata sea piano yangu ina mziki wa kueleweka kuliko ule ujinga
.
Matoleo ya nyuma yote ni mazuri na yanakita kuliko ule uchafu wa 2911!
hajasema ana kodtec ndani , fuatilia posts zake vizuri.Mwamba utakuwa umejaza redio ndani dah una sea piano, Kodtect, HT ya sony, na ile nyingine yenye speaker 2 za low frequency ni fireeeee
20-160hzAngalia kwenye bass frequency response kama huyi Sony dz350 ana 30hz or below Ili amzidi kodtec..upoo!!
mkuu ongea na Konzo kule china akupe shavu la Country Marketing Manager, maana sio kwa promo hiliYa uongo hio sio kweli😂😂😂 ukiwa na sikio bovu huwezi jua tofauti, kaka ukiskia mziki wa kodtec unaweza ukataka uuze hio Sony kesho.
Walioiskia hio kodtec wananielewa vizuri
Hata sea piano so 910 ana 20hz Ila sikiliza bass yake ikifika katkat inaanza kulalamika imefika mwisho wakat apo knob Bado ipo katkati 😂😂Ya uongo hio sio kweli😂😂😂 ukiwa na sikio bovu huwezi jua tofauti, kaka ukiskia mziki wa kodtec unaweza ukataka uuze hio Sony kesho.
Walioiskia sound ya kodtec wananielewa vizuri.
Ngoja niwatumie link muoneShopee ndio wako wapi?