Kodtec Speaker systems

Mkuu, Hapo kwenye Rnb na hiphop tuko pamoja.

Pili, Unapozungumzia mziki hutakiwi kutaja kitu kinachoitwa home thearte kwa sababu hiyo sio system ya mziki na hakuna mziki wa maana unapatikana humo.

Pia, Mimi situmii subwoofer wala home thearte kwa ajili ya Music. Huko nilishatoka namshukuru Mungu.
Mimi natumia a True 2-channel-system kwa ajili ya kusikiliza Music.

Mwisho kabisa, Mziki ni kwa ajili yako.. for your personal enjoyment.
Anayetakiwa kuenjoy music ni wewe, Sasa ligi za mziki zinakuwa za nini na kwa sababu gani na ili iweje?
 
hii cylinder sio pioneer 310d4 kweli??
 
nilimuekea ule mgoma wa Sean Paul-like glue


daaah alipagawa kwa ile tight bass iliyokuwa inatoka.
Mkuu hilo zaga lako kwa uelewa wako ukilinganisha na mziki wa kusuka kama ule wa filibert spiker moja la pioneer na twitter zake upi utakuwa na gonga sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…