korokwincho
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 1,054
- 1,269
floorstanding zilikuwa hzo tu pekee, zimebaki ma radio ya zamani na speakers zake kma Sony, aiwa, pioneer, PanasonicSaaFi saana mkuu ntakuchek unielekeze ulipozichukua nije nizichukue niongeze kwenye system yangu coz by now nipo na
3 pioneer Subs, 2 mids, tweeters, mixer, 5way crossover, 12v power supply , except monoblock amplifier 2400w ambayo Iko njian.
Asa ntaongeza na hizo floor standing speakers
Maana deep base niliyonayo watu washaikubali ila wananiuliza ni subwoofer Gani hiyo natumia? ila Mimi nawambia kuwa ni car system na Kila mtu anayepita anaangalia dirishani kwangu coz mziki mzito kinoma ila hawaoni gari [emoji851].
Kwa mwonekano na sound clarity ya hizo Life tec floor standing speakers naunga mkono na ntaifanyia kazi one time niwe Nayo mkuu
uzuri hii avr yangu ina port ya subwoofer pre- out
basi nimeunga na bufa la kodtec, mziki ni kabambe
sema kwa baadae nitatafuta ile subwoofer ya pioneer 3020 pro watts 1800 rms na center speaker 1 ya maana , nitakuwa nimemaliza upande wa vinu
halafu umesema hauna monoblock amp hapo kwako, so hzo pioneers subwoofers umeunga kwenye nini??