Wakuu,
Sound bar genuine by Samsung ni made in nchi gani?
Nahitaji sound bar ya Samsung original/genuine, A450 au A550. Kwa huko Dar zina bei gani?
Nimeona huku mkoani Samsung a450 imeandikwa '400 watts' na ni 'made in china'.
Cc: MoneyHeist4 , Foxhound , hjr
View attachment 2681326Wakuu,
Sound bar genuine by Samsung ni made in nchi gani?
Nahitaji sound bar ya Samsung original/genuine, A450 au A550. Kwa huko Dar zina bei gani?
Nimeona huku mkoani Samsung a450 imeandikwa '400 watts' na ni 'made in china'.
Cc: MoneyHeist4 , Foxhound , hjr
Baada ya kukamilisha hii sound lazma upewe notisi ya kuhama hapo mjengoni.Nikishapata floor standing ya Polk ,
Namalizia na hizi
Subwoofer mbili za kibabe za
Pioneer za TS-W3820PRO
PRO Samurai series - 15" High Efficiency Subwoofer. (3500 W)
View attachment 2676555
View attachment 2676558
Pamoja na hii Skar Audio SKv2-3500.1D, 3500 RMS watts Monoblock Class D MOSFET Competition Grade Subwoofer Amplifier, 4700W Max Power
View attachment 2676548
Hapo mambo yangu yatakaa sawa
View attachment 2681326
Mkuu yangu hiyo Samsung A550 inasomeka kama hivyo. Watt 410.
Kuwa makini mkuu, nilinunua laki 7.Ulichukua bei gani? Hiyo a550.
Naona mchina ameshazivyatua fake. Kuna a450 nimeiona wameandika watts 400! wakati ukicheki kwenye website ya Samsung wenyewe wanaonesha a450 ina watts 300.
Pia shahidi anayejua ukweli kuwa nimenunua ni extrovert.
Kwaio Mimi nimenunua Kwa bobstock.View attachment 2635155View attachment 2635158
Mimi natumia Samsung sound bar 6 Series (A650) 430W bei inasimama kwenye 900KWakuu,
Sound bar genuine by Samsung ni made in nchi gani?
Nahitaji sound bar ya Samsung original/genuine, A450 au A550. Kwa huko Dar zina bei gani?
Nimeona huku mkoani Samsung a450 imeandikwa '400 watts' na ni 'made in china'.
Cc: MoneyHeist4 , Foxhound , hjr
Mimi natumia Samsung sound bar 6 Series (A650) 430W bei inasimama kwenye 900K
Unaweza ukanunua kokote ilimradi kama unajua kuscan barcode, iscan kabla ya kununua ili kuhakiki kama ni originalOkay mkuu. Mie ngoja niisake A450 au A550).
Kwa Dar napata wapi Samsung original? Duka gani? au niwatafute Samsung wenyewe kwenye Duka Lao official hapo Dar?
Unaweza ukanunua kokote ilimradi kama unajua kuscan barcode, iscan kabla ya kununua ili kuhakiki kama ni original
Mkuu uko mwanza sehemu gani? Maana hii yangu nilinunua Mwanza.Sawa. Nitaagiza tu huko Dar.
Mwanza zimejaa Samsung feki za China... wanaandika watts za uongo.
Njoo nikupeleke shop ukajichukulie mzigoSawa. Nitaagiza tu huko Dar.
Mwanza zimejaa Samsung feki za China... wanaandika watts za uongo.
sio kuhama tu mjengoni Bali ahame na mkoa kabisaBaada ya kukamilisha hii sound lazma upewe notisi ya kuhama hapo mjengoni.
Njoo nikupeleke shop ukajichukulie mzigo
hapa lazima ujenge urafiki na tanesco kwa kununua units za umemeYeaah ni kweli mkuu ila it will be a special music sound for special event,
Ni mwendo wa kuswitch tu coz ni kucheza na Switching off and on from one system to another in normal circumstances in correspondence with thorough electric wiring connections .,
Kwa sababu hata power supply ya hio amplifier lazima iwe amps 350 Kwa volts 12 mpaka 16v.
Ila naweza kuswitch all systems pale tu kama ni special event around my home
Vipi jamani wataalam nimekuta hiinkitu sehemu..
Ina mzimi wa kuridhisha au niachane nalo??View attachment 2680448
Hahaaa nashkuru nimekupata.ngoja niendelee kusaka.aliang za kwanza hizo zina bass ngumu sana ni maalumu kwa ajili ya kubighudhi wapangaji wengine.
ila ktk viwango vya mziki kama unavyojua mchina na haya madude yake bado.so libebe kwa minajiri hiyo ya vurugu sio ubora wa mziki.