filibert paul
Senior Member
- Oct 8, 2021
- 179
- 421
Kiukwel hapa inatakiwa uwe na knowledge ya kutosha in electronics pia unatakiwa uwe umefanya research mitandaoni jinsi ya kufanya customization ya sound system yako according to your preference .Yaan hapa sielewi Chochote[emoji23][emoji23][emoji23]
Yani una sub tatu za pioneer? Unaziendesha na nn? Na hizo mids na twitaSaaFi saana mkuu ntakuchek unielekeze ulipozichukua nije nizichukue niongeze kwenye system yangu coz by now nipo na
3 pioneer Subs, 2 mids, tweeters, mixer, 5way crossover, 12v power supply , except monoblock amplifier 2400w ambayo Iko njian.
Asa ntaongeza na hizo floor standing speakers
Maana deep base niliyonayo watu washaikubali ila wananiuliza ni subwoofer Gani hiyo natumia? ila Mimi nawambia kuwa ni car system na Kila mtu anayepita anaangalia dirishani kwangu coz mziki mzito kinoma ila hawaoni gari 🤓.
Kwa mwonekano na sound clarity ya hizo Life tec floor standing speakers naunga mkono na ntaifanyia kazi one time niwe Nayo mkuu
Amplifier (boschman)
mixer (boschman)
Crossover (audiobank) 5 ways
4 Midi speakers (sony)
2 Tweeters
Power supply 400w
Speakers wires
RCA cables
4 gauge amplifier power wires
3 Pioneer speakers TS 309d4
3 enclosure box for sub
Budget ni Almost from 1.5m
Yes unaweza tumia kwenye system yoyote ya mziki
Mfano unaweza nunua receiver ya Digital audio decoder DTS Dolby Digital 5.1 Audio Decoder ili update sorround music system yako
HaifungukiOkay here we go....
Naitambulisha kwenu The Fives from Klipsch.
A true HiFi System, designed for music.
Brand: Klipsch
Model: The Fives
INTRO:
Ni powered Speakers. Maana yake iko na in-built amp.. Na ina inputs connections almost zote
SOUND:
- It has a very BIG Sound.. They sound very BIG.
- Zile sifa za Soundstage and Imaging nilizozungumza kwenye comment iliyopita, unazipata hapa.
-Zinapopiga mziki, zina-dissappear. You just hear Music but You don't hear music directly from the speakers.
Zinakupa UHALISIA wa mziki in terms of sauti/instrument inatakiwa isikike kutoka wapi.
- Kwa upande wa Bass, zina Bass ya kutosha sana. Ila una option ya kuongeza sub kama utataka. (Honestly sijawahi kuhitaji kuongeza sub...The Bass here is more than Enough for me)
MY OPINION:
Kwa kifupi... Zina sound vizuri sana... I mean SANA.
Ni speakers zilizonipa Taste na experience mpya ya mziki ambayo sikuwahi kuipata popote hapo kabla.
Binafsi Naamini mtu akionja hii ladha, ni ngumu sana kurudi kwenye homethearters/soundbars na subwoofers.
Naambatanisha na Picha kama ulivyoomba.View attachment 2629947View attachment 2629948
Mbona unatutumia picha za Google au ndo una imaging Kama spika zinavo imagingOkay here we go....
Naitambulisha kwenu The Fives from Klipsch.
A true HiFi System, designed for music.
Brand: Klipsch
Model: The Fives
INTRO:
Ni powered Speakers. Maana yake iko na in-built amp.. Na ina inputs connections almost zote
SOUND:
- It has a very BIG Sound.. They sound very BIG.
- Zile sifa za Soundstage and Imaging nilizozungumza kwenye comment iliyopita, unazipata hapa.
-Zinapopiga mziki, zina-dissappear. You just hear Music but You don't hear music directly from the speakers.
Zinakupa UHALISIA wa mziki in terms of sauti/instrument inatakiwa isikike kutoka wapi.
- Kwa upande wa Bass, zina Bass ya kutosha sana. Ila una option ya kuongeza sub kama utataka. (Honestly sijawahi kuhitaji kuongeza sub...The Bass here is more than Enough for me)
MY OPINION:
Kwa kifupi... Zina sound vizuri sana... I mean SANA.
Ni speakers zilizonipa Taste na experience mpya ya mziki ambayo sikuwahi kuipata popote hapo kabla.
Binafsi Naamini mtu akionja hii ladha, ni ngumu sana kurudi kwenye homethearters/soundbars na subwoofers.
Naambatanisha na Picha kama ulivyoomba.View attachment 2629947View attachment 2629948
Alipaswa kutuma halisi kama ile yako
Hizo za Google ndio hizo hizo nilizonazo.Haifunguki
Mbona unatutumia picha za Google au ndo una imaging Kama spika zinavo imaging
ndo nzuri ..bass ya kawaida walikuwa wanauza 500 nadhaniSasa mkuu hapo atleast utafute mziki kama huu, kwa pocha tu tauar unaonekana si wa kitoto, kuna mwenye nao?View attachment 2208812
Tunataka ona product sio sebuleni kwako au una imagingHizo za Google ndio hizo hizo nilizonazo.
Unataka uone sebuleni kwangu ili iweje?
Bongo ingekuja hio kampuni ungenunua? Hata Toyota na ma kampuni mengine wanafanya hayo SanaKwenye utafiti wangu nimekuja kugundua kumbe kodtec wanatumia subwoofer Kampuni ya Salpido AMX kutoka Malaysia
KODTEC KT 2812/ KODTEC KT 2913 NI ==SALPIDO AMX 5.👇👇👇
Nimesoma maelezo mtandaoni wanainadi ina output ya 200w kila spika, yaani 200w X 5 halaf boofer pekee lina 1000w, si balaa hili[emoji23][emoji23][emoji23]. Nikipata feedback ya mmoja wa wamiliki huu mdude nauweka ndani. 470k bei yake kwa sasa
Jbl kwenye sound za magari hayupo hataKuna haice Moja sijui ilikua imefungwa JBL ? Ilikua inapiga mziki 1mnene 2mzito kinoma mpaka ilipikua inafika stendi ikiwa ya mwisho abilia wa kwenye hais za mwanzon wakisikia tu, wote wanashuka wanaamia kwenye dundo zito , abilia wanajaa mpaka mlangon, dereva anapita pemben anaondoka nao,
Hahahahahah JBL wana bass speakers nzuri sana wakifuatiwa na pioneer.
Haihusiani na frequency response ya spikaHivi kati ya 1ohm, 2ohms na 4 ohms ipi Ina dynamic deep bass?
Me nilitest kwa wakala wao kabisa na nilipewa remoteMzee kwanza haina settings za ku regulate sauti
independently. Kuna EQ presets button ya rock,pop,jazz nk.
Bass haijai vyema ni almost imemezwa na mids za sorround speakers zile. Kwa bass lovers its a serious turn off. Inshort kelele ziko juu kuliko bass na ili uisikie bass walau kidogo ni labda u turn volume hadi 6O.
Niliomba remote yake niangalie huenda kuna button ya kujazia bass mle ila sikufanikiwa kuipewa. Better of hizi model za KT-2913 na KT-2812 zenye passive bass radiators for serious deep bass.
This Kodtec 2OOOw hometheatre is a serious joke mazee.
Sony Wana bass Sasa? Hizo hometheatre za 1000w hamna kituTuache masihara kodtec izidi home theater system dz650 kwenye bass! Labda hukuset vzr upande bass equalizer
Hii ya kipuuzi sana yani takataka kabisaMe nilitest kwa wakala wao kabisa na nilipewa remote View attachment 2730948sikuipenda
Hio bass yake Nina uhakika haina hata 100w , sio deep Ni ya kawaida sana
It's the matter of wiring,Yani una sub tatu za pioneer? Unaziendesha na nn? Na hizo mids na twita