Kodtec Speaker systems

Kodtec Speaker systems

Yaan hapa sielewi Chochote[emoji23][emoji23][emoji23]
Kiukwel hapa inatakiwa uwe na knowledge ya kutosha in electronics pia unatakiwa uwe umefanya research mitandaoni jinsi ya kufanya customization ya sound system yako according to your preference .

NB poor wiring and poor crossover settings results to poor sound and damage subs at distortion.
Also low budget amplifier power cables may results cable to overheat and burn and damage amplifier,
Especially for amplifier with no MOSFET power protector kama deochestra na nyinginezo za design hiyo.
 
SaaFi saana mkuu ntakuchek unielekeze ulipozichukua nije nizichukue niongeze kwenye system yangu coz by now nipo na
3 pioneer Subs, 2 mids, tweeters, mixer, 5way crossover, 12v power supply , except monoblock amplifier 2400w ambayo Iko njian.
Asa ntaongeza na hizo floor standing speakers
Maana deep base niliyonayo watu washaikubali ila wananiuliza ni subwoofer Gani hiyo natumia? ila Mimi nawambia kuwa ni car system na Kila mtu anayepita anaangalia dirishani kwangu coz mziki mzito kinoma ila hawaoni gari 🤓.
Kwa mwonekano na sound clarity ya hizo Life tec floor standing speakers naunga mkono na ntaifanyia kazi one time niwe Nayo mkuu
Yani una sub tatu za pioneer? Unaziendesha na nn? Na hizo mids na twita
 
Tuone hio mixer
Amplifier (boschman)
mixer (boschman)
Crossover (audiobank) 5 ways
4 Midi speakers (sony)
2 Tweeters
Power supply 400w
Speakers wires
RCA cables
4 gauge amplifier power wires
3 Pioneer speakers TS 309d4
3 enclosure box for sub
Budget ni Almost from 1.5m

Yes unaweza tumia kwenye system yoyote ya mziki
Mfano unaweza nunua receiver ya Digital audio decoder DTS Dolby Digital 5.1 Audio Decoder ili update sorround music system yako
 
Okay here we go....

Naitambulisha kwenu The Fives from Klipsch.
A true HiFi System, designed for music.

Brand: Klipsch
Model: The Fives

INTRO:
Ni powered Speakers. Maana yake iko na in-built amp.. Na ina inputs connections almost zote

SOUND:
- It has a very BIG Sound.. They sound very BIG.

- Zile sifa za Soundstage and Imaging nilizozungumza kwenye comment iliyopita, unazipata hapa.

-Zinapopiga mziki, zina-dissappear. You just hear Music but You don't hear music directly from the speakers.
Zinakupa UHALISIA wa mziki in terms of sauti/instrument inatakiwa isikike kutoka wapi.

- Kwa upande wa Bass, zina Bass ya kutosha sana. Ila una option ya kuongeza sub kama utataka. (Honestly sijawahi kuhitaji kuongeza sub...The Bass here is more than Enough for me)

MY OPINION:
Kwa kifupi... Zina sound vizuri sana... I mean SANA.
Ni speakers zilizonipa Taste na experience mpya ya mziki ambayo sikuwahi kuipata popote hapo kabla.

Binafsi Naamini mtu akionja hii ladha, ni ngumu sana kurudi kwenye homethearters/soundbars na subwoofers.

Naambatanisha na Picha kama ulivyoomba.View attachment 2629947View attachment 2629948
Haifunguki
Okay here we go....

Naitambulisha kwenu The Fives from Klipsch.
A true HiFi System, designed for music.

Brand: Klipsch
Model: The Fives

INTRO:
Ni powered Speakers. Maana yake iko na in-built amp.. Na ina inputs connections almost zote

SOUND:
- It has a very BIG Sound.. They sound very BIG.

- Zile sifa za Soundstage and Imaging nilizozungumza kwenye comment iliyopita, unazipata hapa.

-Zinapopiga mziki, zina-dissappear. You just hear Music but You don't hear music directly from the speakers.
Zinakupa UHALISIA wa mziki in terms of sauti/instrument inatakiwa isikike kutoka wapi.

- Kwa upande wa Bass, zina Bass ya kutosha sana. Ila una option ya kuongeza sub kama utataka. (Honestly sijawahi kuhitaji kuongeza sub...The Bass here is more than Enough for me)

MY OPINION:
Kwa kifupi... Zina sound vizuri sana... I mean SANA.
Ni speakers zilizonipa Taste na experience mpya ya mziki ambayo sikuwahi kuipata popote hapo kabla.

Binafsi Naamini mtu akionja hii ladha, ni ngumu sana kurudi kwenye homethearters/soundbars na subwoofers.

Naambatanisha na Picha kama ulivyoomba.View attachment 2629947View attachment 2629948
Mbona unatutumia picha za Google au ndo una imaging Kama spika zinavo imaging
 
Kwenye utafiti wangu nimekuja kugundua kumbe kodtec wanatumia subwoofer Kampuni ya Salpido AMX kutoka Malaysia
KODTEC KT 2812/ KODTEC KT 2913 NI ==SALPIDO AMX 5.👇👇👇
Bongo ingekuja hio kampuni ungenunua? Hata Toyota na ma kampuni mengine wanafanya hayo Sana


Ila zingekuja zinaitwa seapiano zingeuza Sana

Seapiano Ina jina Tanzania
 
Kuna haice Moja sijui ilikua imefungwa JBL ? Ilikua inapiga mziki 1mnene 2mzito kinoma mpaka ilipikua inafika stendi ikiwa ya mwisho abilia wa kwenye hais za mwanzon wakisikia tu, wote wanashuka wanaamia kwenye dundo zito , abilia wanajaa mpaka mlangon, dereva anapita pemben anaondoka nao,
Jbl kwenye sound za magari hayupo hata

Hilo litakuwa Kenwood 3000 au kina pioneer
 
Mzee kwanza haina settings za ku regulate sauti
independently. Kuna EQ presets button ya rock,pop,jazz nk.

Bass haijai vyema ni almost imemezwa na mids za sorround speakers zile. Kwa bass lovers its a serious turn off. Inshort kelele ziko juu kuliko bass na ili uisikie bass walau kidogo ni labda u turn volume hadi 6O.

Niliomba remote yake niangalie huenda kuna button ya kujazia bass mle ila sikufanikiwa kuipewa. Better of hizi model za KT-2913 na KT-2812 zenye passive bass radiators for serious deep bass.

This Kodtec 2OOOw hometheatre is a serious joke mazee.
Me nilitest kwa wakala wao kabisa na nilipewa remote
Screenshot_20230828-071428.png
sikuipenda

Hio bass yake Nina uhakika haina hata 100w , sio deep Ni ya kawaida sana
 
Yani una sub tatu za pioneer? Unaziendesha na nn? Na hizo mids na twita
It's the matter of wiring,
Subs are connected at the right side of an amplifier, where
Two (2) subs are connected at 2 ohms separately.
1 sub is connected at 4 ohm bridged from an amplifier output.
Mids and Tweeters are connected at the left side of an amplifier.
You Get it.?
 
But mind you,
Pioneer ukiifunga vizuri aseeh hizi mashine ni NY*k aseeh ,
Nimeamza kupumguza wageni ndani kila mtu anataka kuja kuangalia kitu kinachotikisa ardhi ni Nini alafu mids 3 na tweeter nazo ziko nne zinapiga sorround crisp flan hatari , kiukwel sijawai kujutia sauti ya car system that's why is so expensive,
Na Kuna sauti flani Huwa ni nzito saana kiasi kwamba lazima ufunge mlango wa chumba ukausikilizie Kwa nje ndo utauvumilia, .
But nowadays nimepunguza kusikiliza sauti kubwa za bass , naskiliza just for normal volumes .
 
Back
Top Bottom