korokwincho
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 1,054
- 1,269
kma nisingekuwa na kodtec 2912 ningeiishi hapa kwa muda
kwa mdundo ninaosikia nisingejiuliza mara 2 kwenye price tag
kwa mdundo ninaosikia nisingejiuliza mara 2 kwenye price tag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwa nitakuja kuweka kijiwe kwako..😀😀😀Yaan Kuna jamaa ni dereva wa bas za iringa hua anapaki kalibu na kwangu huku dodoma, asa alikua akija anapiga ziki lake kuubwa la Sony xplod zile 1350w ila na Mimi siku nimenunua nmefunga usiku kucha .
asubui yake hakwenda kazin asa nikaliwasha mwanangu, yaan nilimshutua akiwa kwenye bas lake anafanya service na nilikua natest wimbo wa fire boy-jealous yaan Ile wimbo unaanza tu kwanza niliiskia watu wanaguna huko nje baadae nikaona anajileta kuangalia Nini Tena kitu Gani nmeweka alishangaa saana mpaka alijikuta ananiuliza maswali mengi mpaka anayarudiarudia.
Narudia Tena these pioneers subwoofers are fkng thumping crazy yaan uwez amini na mwonekano wake wa saani saani aseh kodtec wakasome
Both two are Total 800 RMS watts
jumla imekucost bei gani mkuu kuunda hyo system??Au kama ukishindwa waweza jichanga taratibu ukaanza kununua spika Moja ya pioneer mf .ts w309d4 au 310d4 200k/= alafu amplifaya za deochestra au boschmann 300k/=, tweeter zako midi za kawaida za Sony mega bass
Na power supply Yako geton mambo yanakua mazuri,
Coz mi mwenyewe nilenda kununua kodtec kt 2912 nikakuta mdada anachat aan tu kumuuliza subwoofer niliyokupa ninaiitaji pale pale akaniropokea eti "hazipo zimeisha" wakati mi naiona kwenye Kona imefunikwa na box , nikamwangalia yule dada Tena nikaona Bado anachat nikaamua kutoka nikaona Ile model ya kt 2809 kalibu na mlango wao nikaiulizia akanambia ety "subwoofer zote hazipo zimeisha" yaan niliumia kichiz nikaenda kupumzika kwanza uwanjan kesho yake nikawaza upya kufikilia kununua vinu vya pioneer nilienda Kwa mafundi wa magari kuwauliza wakaniuliza nataka kufunga spika ngapi ? Nikawaambia nne , akasema ""nne?"" Nkasema ndio akaniuliza kwani una nyumba Yako au umepanga ? Nikawaambia nmpanga wakanambia nazingua, nitasababisha craki kwenye Kuta , ndo wakanishauri niweke mbili na hizo mbili nijiandae Kwa notes ya mwenye nyumba.
In shot mambo Yako ivi.
1. Power supply
2. Tweeter nne
3. Amplifier
4. (2)pioneer subwoofers ts w309d4
12inches (ikiwa chini ya bed)
5. Midi (hazijafuguliwa au kufungwa nasubilia box zake kutoka Kwa fundi)
Roughly 850k/=jumla imekucost bei gani mkuu kuunda hyo system??
Hii je unaionaje?
Weka mawasilianoDodoma maeneo ya shabiby bus stand
0783715243Weka mawasiliano
Kiufupi sahv Kodtec wamebase kwenyw mablender sijui Microphone mara Juice Dispenser na vitu kama Rice cooker!! Sijui mambo ya mziki wana lile lihometheatre lao basi sijui kwaniniwakuu nisaidieni ntapata wapi kodtec subwoofer 2913 au 2812 maana nimewachek insta wameambia kwa sasa hawana brand hizo.. je kuna maduka tofauti na haya wanauza hizi model.. nipo dodoma
picha imekataa kufungukaHii je unaionaje?
View attachment 2597154
picha imekataa kufunguka
sijui ni simu ama app yenyewe
sijui ni simu ama app yenyewe
yaani kuna baadhi ya picha hazifunguki kabisa
nyingi tu
View attachment 2597210
Vp linakita deep au ndio boomy basekma nisingekuwa na kodtec 2912 ningeiishi hapa kwa muda
kwa mdundo ninaosikia nisingejiuliza mara 2 kwenye price tagView attachment 2597129
Tupe specification zake kidogokma nisingekuwa na kodtec 2912 ningeiishi hapa kwa muda
kwa mdundo ninaosikia nisingejiuliza mara 2 kwenye price tagView attachment 2597129
deep bass kiasi ukilinganisha na price ykeVp linakita deep au ndio boomy base
hatuna hela za kununua SvS subs au Sunfire,kilichobaki ni kusuka tuAya .
1.socket extension
2.Power supply.
3.Wiring kit.
4.Subwoofer speaker unayoitaka mf HCCA ORION🤓 au pioneer.
5. Box kubwa la spika.
6. Mids (midi) speakers au spika mayai 6"x9" za pioneer au kampuni yoyote, ZENYE watts za kutosha.
7. Tweeter nzuri kama alpine na pioneer (achana na tweeter za aftano)
8. Amplifier kulingana na watti za spika Yako.
9. Equalizer.
10. Crossover (optional) Kwa sabab most of amplifaya zinakua na internal crossovers ila ni muimu kuwa nayo kama independent hardware.
10. dynamic sound processor (DSPs)optional, hapa haka kakifaa kanatoa mziki tunaopenda kuusikiliza ndo sehem yake yaan Kila production iliyotumika Kwenye mziki unaiskia directly , ila jipange Kwenye gharama yake ndo maana nasema ni optional.
11. Receiver au Bluetooth mp3/mp4 player.
NB soma maelekezo ya Kila kifaa utakachonunua
Unataka specification za Chinese subwoofer?Tupe specification zake kidogo