Okay here we go....
Naitambulisha kwenu The Fives from Klipsch.
A true HiFi System, designed for music.
Brand: Klipsch
Model: The Fives
INTRO:
Ni powered Speakers. Maana yake iko na in-built amp.. Na ina inputs connections almost zote
SOUND:
- It has a very BIG Sound.. They sound very BIG.
- Zile sifa za Soundstage and Imaging nilizozungumza kwenye comment iliyopita, unazipata hapa.
-Zinapopiga mziki, zina-dissappear. You just hear Music but You don't hear music directly from the speakers.
Zinakupa UHALISIA wa mziki in terms of sauti/instrument inatakiwa isikike kutoka wapi.
- Kwa upande wa Bass, zina Bass ya kutosha sana. Ila una option ya kuongeza sub kama utataka. (Honestly sijawahi kuhitaji kuongeza sub...The Bass here is more than Enough for me)
MY OPINION:
Kwa kifupi... Zina sound vizuri sana... I mean SANA.
Ni speakers zilizonipa Taste na experience mpya ya mziki ambayo sikuwahi kuipata popote hapo kabla.
Binafsi Naamini mtu akionja hii ladha, ni ngumu sana kurudi kwenye homethearters/soundbars na subwoofers.
Naambatanisha na Picha kama ulivyoomba.
View attachment 2629947View attachment 2629948