Mkapa has nothing to offer to Kenya. Maybe since they don't know his weakness they think is somebody who help. Mkapa has perfected the art of protectionism in his country has nothing to offer to Kenya. Good enough Mutunga knows how bogus Mkapa is. Maybe he will advise Kenyans against having him on board. Mkapa along with his wife and children is supposed to be in prison for robbing our country .
Nashuhudia Annan na Mkapa B wameanza kuonekana Nairobi sana wakati huu nchi inpojitayarisha katika uchaguzi mkuu. Hivi Kenya imekuwa taifa la ulimwengu.
Good to have you back.
Give us more meat to chew on this bone.
Annan's visit to Kenya is more about Kenya and Kenyans...Big Ben is merely looking for somewhere to
be seen...so to speak. Hamna la maana ila photo ops.
mkapa ni anti-europeans/wazungu ziku zote. Kwa hulka yake, siamini kama anaweza kutumiwa na europeans!
Mkapa ni anti-europeans/wazungu ziku zote. Kwa hulka yake, siamini kama anaweza kutumiwa na Europeans!
duuuuh!mkapa huyuhuyu au...mzee wa ubinafsishaji,mwenyekiti mwenza wa ......... utandawaziMkapa ni anti-europeans/wazungu ziku zote. Kwa hulka yake, siamini kama anaweza kutumiwa na Europeans!
uko mtwara kama sio Ben sijui kungekuwaje amewabeba saana kusini hukoKenya watakuwa wehu na wa hovyo kama watamsikiliza Mkapa mtu aliyeshindwa kuleta hizo neema zake kwao kuanzia Ntwara hadi Tanjania. Chinga bwana! Ila afahamishwe kuwa wakenya wana wivu wa kiume.