Koffi Olomide ahukumiwa miezi 18 jela kwa kosa la kumshambulia Dansa wake

Ila tuangalie na upande wa pili. Labda huyo dancer alimprovoke kupita kiasi akashindwa kuvumilia. Ukiona mtu anafika mahali anapiga mtu ujue kuna ishu ambayo ni beyond diplomacy.
 
Hatimaye mahakama imemtia hatiani mwana muziki nguli Koffee Olomide na kumhukumu kwenda jela miezi 18 bila option ya kulipa faini katika gereza lenye ulinzi mkali mjini Kinshasa.
Hili ni kufuatia tukio la kumshambulia mcheza show wake kwa mateke hadharani huko Nairobi Kenya ijumaa iliyopita.
 
Du! Mkuki kwa nguruwe!
 
Huwa nawaomba wana Jf muniombee tena musichoke angalau niwe na nusu au robo ya uvumilivu
Wakuzaliwa Tz
 
Ila tuangalie na upande wa pili. Labda huyo dancer alimprovoke kupita kiasi akashindwa kuvumilia. Ukiona mtu anafika mahali anapiga mtu ujue kuna ishu ambayo ni beyond diplomacy.
The power of pussy.
 
Afadhali ya Kofi kuliko teke la Jecha - limedhulumu umma nzima Unguja na Pemba. The man deserve gas chamber.
 
Hivi huwa mnaokoteza wapi hizi habari? Kumbe JK alisema ukweli Tanzania kuna viwanda vya uongo!!
 
Hakuna ukweli juu ya taarifa hii,,,ni kweli amekamatwa lakin hajahukumiwa,,,achen uongo
 
Baba samira ina maana hadi video zinazowekwa ni za uongo??? Au?
Bahati mzuri Kifaransa kinapanda vizuri tu weka video nikutafsirie.

Hivi wewe kabisa unaamini hapa Duniani kuna kesi ya kuendeshwa siku moja kama kesi za mahakama ya City?

Najuwa Prezidaa Kabila ana bifu na huyu mtu lakini hakuna hukumu ya papo kwa papo bila legal procedure.

Leo Koffi amefunguliwa mashtaka mahakamani na siyo kwamba amehukumiwa hiyo kesi iliendeshwa lini?
 
Nae atajifunza ustaarabu ulivyo. Ila akitoka yule mnenguaji aliyepigwa atafanyiwa kila aina ya visa na atalaumiwa sana.
 
Amekiuka masharti na miko au kuna damu kama si laana vinamuandama...hatatumikia kifungo chote atatoka kwa msamaha wa parole lakini hii yaweza kuwa mwanzo wa mwisho wake
Jela sijui huwa kuna nuksi na gundu gani huwezi kukaa vizuri hata ukipata mafanikio yanakuwa na misukosuko mingi jaribu kufuatilia watu wengi walio toka ngome.
 
Ukilewa sana sifa unapata ujasiri wa kijinga unaopelekea kufanya mambo ya ajabu kama huyo Koffi matokeo yake anakwenda jela..iwe funzo kwa kina Richea na masupasta bongo uchwara
 
Kwa mujibu wa bbc jamaa atalala mung'anda kesho anarudi mahakamani hizo kuwa kala nyundo na miezi sita hazina ukweli kwa mujibu wa bbc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…