Hatuongelei kufirisika tunaongelea kushuka kimuziki,pdidy na doctor dre wameshuka kimuziki ila bado kiuchumi wako vizuri sanaKwa mtazamo wako unaweza sema kashuka lakini sio kweli. Kof ana utajili mkubwa Sana ni Zaidi ya bilioni 50 za kibingo .Kuimba na akina Nandy kisiwe kigezo Cha kumshusha.
Sawa nimekupata bosdHatuongelei kufirisika tunaongelea kushuka kimuziki,pdidy na doctor dre wameshuka kimuziki ila bado kiuchumi wako vizuri sana
Ni kweli mziki una muda wake Sasa hivi anafanya kwa kijifutahishaHatuongelei kufirisika tunaongelea kushuka kimuziki,pdidy na doctor dre wameshuka kimuziki ila bado kiuchumi wako vizuri sana
anamchukulia poa huyo mfipa,shauri yake.Jamaa hajafanya uchunguzi kwa makini Boss ya Mboka anautajili wa Zaidi ya bilioni 50 pesa za kibongo.
Combattants ni nini mkuu?Nimesoma comments karibu zote kwenye huu uzi na nimegundua wengi wenu mna uelewa mdogo sana kuhusu muziki wa Congo. Kinachosababisha Koffi awe anapatikana ni uwepo wa Combattants huko Ulaya. Hawa jamaa wamesababisha wanamuziki wa Congo washindee kupiga show Ulaya. Kiukweli kwa kiasi fulani wameushusha thamani muziki wa DRC. Mnaosema Koffi kashuka hamjui mnenalo. Koffi bado ana madini mengi sana... hitsong yake ya Selfie miaka michache tu iliyopita kama sikosei 2016 ilisumbua dunia nzima, hatujakaa sawa akaja na Papa Mobimba... kimsingi huyu mzee kushuka ni hadi yeye mwenyewe aamue.
Umeupiga mwingi kama karaniWaswahili ndo mlivo!! ukiwapokea na kuwakubali, ndo inakuwa kama hivi ooohh! cheap! ameshuka kimuziki, amezeeka, mara kafulia!!! ukijiweka mbali na adimu ooohh!! anaringa sana yule!!!
ndo maana Mungu kawapiga banzi la umaskini!! hamchomoki humo! mpaka mchakae! mtatawaliwa tena na tena, make hamnaga shukrani farasi wakubwa nyie!! hata hamjui mlitokea wapi!!..kiasili misukure ya Dunia.
Maskini mnapewa ofa na nyie mjisikie watu ''oooh! kashuka''! pyuuuuu!!!! .......ndo maana Kambona aliwakimbia hivi hivi!!.... sasa angalia jiwe kajiweka karibu na nyie tu yuko wapi???
mlivyo mikosi Nyerere aliposaafu akapewa ofa akaishi swiss Bure, akakataa, akawa karibu saaana na nyie watu!! kwani alichukua muda mlipo mkata jicho, la wala ugali, ngalia sasa kafa!...
pamoja na kuwa na maisha ya hali ya juu!...ndo maana nyie ngozi nyeupe haiwataki kamwe!! piga ua galagaza! Wahindi waku humu miaka nenda rudi lkn kamwe hamkai nao!!
jirani Muhindi/Muarabu/Mzungu/Mpemba ata zungusha kila aina ya ukuta ili mradi tu asikutane na rangi yenye sumu ile nyeusi tiii!! hata kama umezaa na Mzungu wale watoto watajitenga mbayaaaa!!
hawatajua ndugu zako kamwe! ukibisha muulize sarungi!! hata humu hkn muarabu wala Muzungu!.......japo wanajua kiswahili!.....Rangi nyeusi ni shida ila ukiwa mweupe kidogo km kikwete roho inakuwa nzuri kidooogo!
Ni wacongo walioko Ulaya wanaoipinga serikali ya DRC. Waliamua kuhakikisha matamasha ya wanamuziki wa Congo hayafanyiki kabisa Ulaya kwa kuleta vurugu siku ya onyesho. Hiyo hali imepelekea show nyingi kufutwa kutokana na uwepo wa taarifa za kiitelijensia za vurugu kutokea. Koffi Olomide na Werrason ni wahanga wakubwa wa hayo mambo.Combattants ni nini mkuu?
Hata useme ivo!! lkn waarabu hawatajiunga JF!Umeupiga mwingi kama karani