Waswahili ndo mlivo!! ukiwapokea na kuwakubali, ndo inakuwa kama hivi ooohh! cheap! ameshuka kimuziki, amezeeka, mara kafulia!!! ukijiweka mbali na adimu ooohh!! anaringa sana yule!!!
ndo maana Mungu kawapiga banzi la umaskini!! hamchomoki humo! mpaka mchakae! mtatawaliwa tena na tena, make hamnaga shukrani farasi wakubwa nyie!! hata hamjui mlitokea wapi!!..kiasili misukure ya Dunia.
Maskini mnapewa ofa na nyie mjisikie watu ''oooh! kashuka''! pyuuuuu!!!! .......ndo maana Kambona aliwakimbia hivi hivi!!.... sasa angalia jiwe kajiweka karibu na nyie tu yuko wapi???
mlivyo mikosi Nyerere aliposaafu akapewa ofa akaishi swiss Bure, akakataa, akawa karibu saaana na nyie watu!! kwani alichukua muda mlipo mkata jicho, la wala ugali, ngalia sasa kafa!...
pamoja na kuwa na maisha ya hali ya juu!...ndo maana nyie ngozi nyeupe haiwataki kamwe!! piga ua galagaza! Wahindi waku humu miaka nenda rudi lkn kamwe hamkai nao!!
jirani Muhindi/Muarabu/Mzungu/Mpemba ata zungusha kila aina ya ukuta ili mradi tu asikutane na rangi yenye sumu ile nyeusi tiii!! hata kama umezaa na Mzungu wale watoto watajitenga mbayaaaa!!
hawatajua ndugu zako kamwe! ukibisha muulize sarungi!! hata humu hkn muarabu wala Muzungu!.......japo wanajua kiswahili!.....Rangi nyeusi ni shida ila ukiwa mweupe kidogo km kikwete roho inakuwa nzuri kidooogo!