Koffi Olomide, Mzee Wa "Mizigo"

Koffi Olomide, Mzee Wa "Mizigo"

Sijui kwa watu wengine, lakini mimi binafsi namuona Koffi anajisikia sana na majivuno - kitu ambacho unishangaza zaidi yeye ni muhitimu wa Chuo Kikuu mwenye shahada ya hesabati au economics kama sikosei sasa uwa sielewi kwa nini anakuwaga limbukeni!
 
Uchambuzi mzuri wa kumuhusu ' Large Degaire ' Koffi Olomide na hongera sana kwa hilo Mkuu ila tambua ya kuwa hata kama ana uwezo gani ila katika fani yoyote ile kama huna ' nidhamu ' ni kazi bure. Koffi Olomide anasumbuliwa mno na ' ulimbukeni ' hasa baada ya kuwa ni Mtoto aliyekulia katika familia ya kimasikini na kuishi kimasikini vile vile mpaka alivyopata Pesa ndipo akaanza ' kubadilika ' na ndiyo maana hata afanyeje huwa ' hafurukuti ' kwa lolote au chochote kutoka kwa Vijana waliokulia katika ' utajiri ' akina Jean Bedele Tshituka Mpiana na Ngiama Makanda Werrason ambao wao ' mziki ' hawafanyii ' dhiki ' au ' shida ' hasa ukizingatia wote Baba zao walikuwa ni ' Mabalozi ' wa nchi kubwa za Ulaya enzi za Rais Mobutu Seseseko Kuku Wa Zabanga ' Le Grand Leadear '. Na anachokifanya sasa Koffi Olomide ni kuiba tu Wanamuziki wa akina Wenge Musica BCBG na Wenge Musica Maison Mere lakini kinachomuumiza na kumshangaza ni kwamba kila ' akinyakuwa ' Wanamuziki ' mahiri ' huko akina JB Mpiana na Werrason wanaingia ' chimbo ' na kuibua vijana wapya kabisa ambao huja kuwa ' moto wa kuotea mbali ' na ' tishio ' pia.

Mfano Koffi Olomide alimnyakuwa ' Drummer ' maarufu sana wa Wenge Musica BCBG ya JB Mpiana aitwae Titina Alcapone ' Le Grand Prete ' ila muda mfupi tu JB Mpiana akaibua ' fundi ' wa kuzikaanga ' chips ' ama ' drums ' aitwae Seguen Mignon a.k.a Maniata ambaye kwa kweli amemfunika vibaya mno Titina na sasa ' kapotea '.

Hakuishia tu hapo bali Koffi Olomide akaendelea na ' upuuzi ' wake ambapo safari hii akaenda katika bendi ya Werrason ya Wenge Musica Maison Mere na ' kumnyakua ' kwa ' jeuri ' Rapa au Fundi wa ' kughani ' wenyewe Wakongo huwaita ' atalakus ' na Wafaransa huwaita ' animateurs ' aitwae Rwinga Keps au kwa jina ' maarufu ' la muziki alijulikana sana kama ' Brigade Sabateur ' ambapo baada tu ya kumchukua Werrason hakuchelewa na mara moja akaenda kukiibua ' kifaa ' kimoja ' matata ' katika ' kurapu ' aliyekuwa akiitwa Celeo Mozami Muviu au kwa jina maarufu anaitwa ' Stramme ' ambaye alikuja kumfunika vibaya sana Brigade na hadi sasa kapotea.

Hata hivyo kwa faida yako Mkuu Koffi Olomide ni mzuri tu wa kuimba miziki hii ya ' Video ' ila wenye ' shughuli ' yao hasa katika ' live ' perfomances Congo nzima hakuna anayewafunika Wenge Musica BCBG ya JB Mpiana na Wenge Musica Maison Mere ya Werrason na ndiyo maaana hata Kampuni kubwa kabisa ya ' Kilevi ' kinachopendwa Congo nzima kiitwacho ' PRIMUS ' imeingia ' mkataba ' nao mnono lakini kwa Koffi Olomide ' wamesitisha ' baada ya kuona kuwa hana ' mashabiki ' wengi anapokuwa anapiga katika concerts zake sehemu mbalimbali duniani.
Nakubaliana na ww mkuu...ila ni ukwel usiopingika kuwa mopao alikusanya squad kali kabisa(since bcbg 4x4 ile ya kina manda chante,tshituka mukulu,blaise bula,ngiama makanda,wunda ekokota..nk) ya muzik wa dance ile ya kina fally ipupa.montana kamenga,junior kingombe,lola digital,madogo abarmbwa,Jordan kuss,cardinal,soleil wanga,binda base,felly Tyson,alcapone,fofo la colegien.bulla mpela.kerozene,mbasu..nk...since original bcbg ilivyosambaratika usiku ule pale abjan 1997..jb mpiana alifurukuta mpaka 1999..Na ile show Yake ya zenith 1999 pamoja na kina lusubu mambongo(suzuki),alan mpela,emila,kibens,..nk..ilimbeba...ila since then maison merre wakawa juu...na mopao akawatupa mbali..
 
Yap Mkuu hawa Wanamuziki wa Congo karibia wote bila ' Ndumba ' muziki haunogi na ' wanaroga ' sana hawana ' utani ' katika hili.

Koffi Olomide... Hapandi jukwaani katika concert lolote bila kwenda ' chooni ' kujimwagia ' mkojo ' wake.

JB Mpiana... Hapandi jukwaani bila ' kumeza ' Chura ambaye lazima atafutwe eneo analoenda kupiga show yake.

Werrason... Hapandi jukwaani bila ama kufanya Mapenzi na ' Sokwe ' Jike au ' kubeba ' makende yake ( pumbu ) ambalo hupenda sana kuyaweka katika begi lake ' maalum ' linalowekwa pale pale jukwaani anapopiga.

Fally Ipupa baada ya kufanikiwa kumtoa ' Kafara ' Mama yake mzazi na kushtukiwa na kulaumiwa sana na Wakongo siku hizi kabadilisha mbinu zake za Ushirikina / Ulozi na sasa hupendelea sana kujifunga ' Kitambaa ' chake ' Chekundu ' usoni au akiwa anakinusa nusa kila mara na huwa akimaliza tu kupiga show yake ' hukichoma ' moto.

Ferre Gola... Hapandi jukwaani bila ' kunywa ' damu ya nyoka wakali na huu mtindo au aina ya ' Uchawi ' anaoutumia unafahamika sana kwa jina la ' Kindoki '.

Natamani sana uniulize hawa akina Twanga Pepeta, FM Academia na huyu Kijana Christian Bella kama na wao wanatumia ndumba au la kwani kwa ninachokijua kuwahusu kama nikikiweka hapa ' hadharani ' katika ' matamasha ' yao Watu hatutakuwa tunaenda tena kutokana na kwamba ni hatari, hatari, hatari Mkuu.

Hivi umeshajiuliza ni kwanini Bendi ambayo ilikuwa inakuja vizuri na imeshakamata kama ya Mashujaa sasa imepotea? Kwa tuliohudhuria ile show yao ya mwaka 2012 December pale Leaders Club na kilichotokea pale sishangai leo hii hiyo Bendi ' kupotea '. Naomba niishie hapa tafadhali!
Mkuu ni vema ukaweka vitu hadharani kwa njia ambayo haitakutia matatani ili kututoa tongotongo,vinginevyo tutaendelea kuishi kwa hisia.
 
Yap Mkuu hawa Wanamuziki wa Congo karibia wote bila ' Ndumba ' muziki haunogi na ' wanaroga ' sana hawana ' utani ' katika hili.

Koffi Olomide... Hapandi jukwaani katika concert lolote bila kwenda ' chooni ' kujimwagia ' mkojo ' wake.

JB Mpiana... Hapandi jukwaani bila ' kumeza ' Chura ambaye lazima atafutwe eneo analoenda kupiga show yake.

Werrason... Hapandi jukwaani bila ama kufanya Mapenzi na ' Sokwe ' Jike au ' kubeba ' makende yake ( pumbu ) ambalo hupenda sana kuyaweka katika begi lake ' maalum ' linalowekwa pale pale jukwaani anapopiga.

Fally Ipupa baada ya kufanikiwa kumtoa ' Kafara ' Mama yake mzazi na kushtukiwa na kulaumiwa sana na Wakongo siku hizi kabadilisha mbinu zake za Ushirikina / Ulozi na sasa hupendelea sana kujifunga ' Kitambaa ' chake ' Chekundu ' usoni au akiwa anakinusa nusa kila mara na huwa akimaliza tu kupiga show yake ' hukichoma ' moto.

Ferre Gola... Hapandi jukwaani bila ' kunywa ' damu ya nyoka wakali na huu mtindo au aina ya ' Uchawi ' anaoutumia unafahamika sana kwa jina la ' Kindoki '.

Natamani sana uniulize hawa akina Twanga Pepeta, FM Academia na huyu Kijana Christian Bella kama na wao wanatumia ndumba au la kwani kwa ninachokijua kuwahusu kama nikikiweka hapa ' hadharani ' katika ' matamasha ' yao Watu hatutakuwa tunaenda tena kutokana na kwamba ni hatari, hatari, hatari Mkuu.

Hivi umeshajiuliza ni kwanini Bendi ambayo ilikuwa inakuja vizuri na imeshakamata kama ya Mashujaa sasa imepotea? Kwa tuliohudhuria ile show yao ya mwaka 2012 December pale Leaders Club na kilichotokea pale sishangai leo hii hiyo Bendi ' kupotea '. Naomba niishie hapa tafadhali!
Mkuu hata PM sijui umelock mana swez kuku PM
 
Na Mimi pia kuna ' uchawi ' wa Kikongo nimeutumia hivyo sipatikani hovyo hovyo PM. Ngoja niombe ' ridhaa ' ya ' Mizimu ' yangu ili iruhusu Mimi kupatikana kwa PM. Vuta subira!
Dah sawa mkuu, naomba waniruhusu japo dakika 30 tu tutete kidogo mkuu sio hili tu kuna mengine nataka tutete!
 
Dah sawa mkuu, naomba waniruhusu japo dakika 30 tu tutete kidogo mkuu sio hili tu kuna mengine nataka tutete!

Ngoja niwaulize wakikubali nitakujibu kwani na Wao wana ' miiko ' yao juu ya Watu wanaotakiwa kuwasiliana nami kwa PM.
 
Napenda sana ule wimbo Wa selfie tournevis! Ni noma Aiseee!
 
Back
Top Bottom