Koffi Olomide: Special Thread

Hata diamond angeweza kufanya hivyo na angepata watu ila mostly huconsider watz wa chini Diamond pia ni msanii wa kimataifa msimchukulie poa.
Mondi anaimba nini? Kwenye live band ni mbovu kufa..... Usimuweke kundi moja legendary koffi na huyo mpiga kelele wa tandale.... Heshima ichukue nafasi yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kifupi hawawezi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ASAS ya Iringa au asas za kiserikali
wameinunua show nzima na watatugonga ticket upya au punguzo
niko Bara nawahi Mlimani asubuhi niwatafute Samaki samaki
msaada p/se
ASAS ya Iringa
 
Hata diamond angeweza kufanya hivyo na angepata watu ila mostly huconsider watz wa chini Diamond pia ni msanii wa kimataifa msimchukulie poa.
Aache kupiga show za bure. Anyways kama.ni rahisi afanye tuone
 
Ila diamond amekunyoosha na anaendelea kukunyoosha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…