Amen!Mondi anaimba nini? Kwenye live band ni mbovu kufa..... Usimuweke kundi moja legendary koffi na huyo mpiga kelele wa tandale.... Heshima ichukue nafasi yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli mwenzangu.
African music superstar guilty of rape
Koffi OlomidΓ© guilty of rape of 15-year-old girl
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiingilio laki moja au milioni moja kwa meza moja yenye viti kumi na tiketi zote zimenunuliwa masaa 24 kabla ya show.
# Gracious Mopao.
# Muziki ya wakubwa.
# Somo kwa Diamond na wenzake: Acheni kupiga show za bure. Zile show Diamond unalipwa na kampuni Dola elfu arobaini upige show ya bure uwanjani kwa AJILI ya kupromote bidhaa au huduma za kampuni hiyo mwisho wa siku zitakuja kuua biashara ya show za muziki Tanzania.
Hiyo itawazoeza vibaya watanzania na mwisho wa siku ukipiga show ya kiingilio people won't show up.
# Kuuza album ilikufa.
# Show za mtu mmoja nazo zilikufa.
# Now mnataka kuua kabisa biashara ya show.
Jifunzeni kwa management ya Koffi. Asas wametoa kibunda cha kutosha kwa Koffi na show kiingilio laki na tiketi zote zimenunuliwa
We jamaa umeuwa kabisaHuyu akipanda Jukwaani unaona matumizi ya Laki moja yako sio hawa walamba midomo kazi kuruka ruka jukwaani na kuwaambia mashabiki piga keleleeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiingilio laki moja au milioni moja kwa meza moja yenye viti kumi na tiketi zote zimenunuliwa masaa 24 kabla ya show.
# Gracious Mopao.
# Muziki ya wakubwa.
# Somo kwa Diamond na wenzake: Acheni kupiga show za bure. Zile show Diamond unalipwa na kampuni Dola elfu arobaini upige show ya bure uwanjani kwa AJILI ya kupromote bidhaa au huduma za kampuni hiyo mwisho wa siku zitakuja kuua biashara ya show za muziki Tanzania.
Hiyo itawazoeza vibaya watanzania na mwisho wa siku ukipiga show ya kiingilio people won't show up.
# Kuuza album ilikufa.
# Show za mtu mmoja nazo zilikufa.
# Now mnataka kuua kabisa biashara ya show.
Jifunzeni kwa management ya Koffi. Asas wametoa kibunda cha kutosha kwa Koffi na show kiingilio laki na tiketi zote zimenunuliwa
Tafuta pesa jombaaningekuwa na pesa afu nipo dar hata million 5 ningetoa
napenda sana muziki wa congo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kumbe hujaona hoja, basi ndio maana hujaelewa. Huwezi kuelewa kitu ambacho hujakionaAcha uongo wewe unasemaje show ya bure wakati mtu analipwa? Kwani ulaya hakuna show za watu kuingia bure na wahusika wasanii wanalipwa?
Muziki utakufa vipi wakati msanii analipwa chake na mshabiki anapata burudani?
Sjaona kabisa hoja yako kabisa !
ko hata laki huna or...?ningekuwa na pesa afu nipo dar hata million 5 ningetoa
napenda sana muziki wa congo
Sent from my iPhone using JamiiForums
hahahaaaaa kichaa..?
hv mshaisahau Zari all white part ilikuwaje tena diamond akiwa sio huyu wa sasa Na ndio show iliyoingiza pesa nyingi kuliko show yoyote iliyowahi fanyika hapa bongo mpaka sasaKiingilio laki moja au milioni moja kwa meza moja yenye viti kumi na tiketi zote zimenunuliwa masaa 24 kabla ya show.
# Gracious Mopao.
# Muziki ya wakubwa.
# Somo kwa Diamond na wenzake: Acheni kupiga show za bure. Zile show Diamond unalipwa na kampuni Dola elfu arobaini upige show ya bure uwanjani kwa AJILI ya kupromote bidhaa au huduma za kampuni hiyo mwisho wa siku zitakuja kuua biashara ya show za muziki Tanzania.
Hiyo itawazoeza vibaya watanzania na mwisho wa siku ukipiga show ya kiingilio people won't show up.
# Kuuza album ilikufa.
# Show za mtu mmoja nazo zilikufa.
# Now mnataka kuua kabisa biashara ya show.
Jifunzeni kwa management ya Koffi. Asas wametoa kibunda cha kutosha kwa Koffi na show kiingilio laki na tiketi zote zimenunuliwa
Sasa hivi wasanii wameua biashara ya show , shows zote wanafanya burehv mshaisahau Zari all white part ilikuwaje tena diamond akiwa sio huyu wa sasa Na ndio show iliyoingiza pesa nyingi kuliko show yoyote iliyowahi fanyika hapa bongo mpaka sasa
je itakuwaje afanye sasa
unauthibitisho gan...?Sasa hivi wasanii wameua biashara ya show , shows zote wanafanya bure
ππππππ we ni shidaPapa mobimba oohhh..papa mobimba...**2......halafu mtu anaraka kumfananisha na mchafu mmoja hivi...anayejua kucheza na vinena vya wanawake na kuwatekeleza...olomide the legend is here...
Tofali 100 hizo mkuuMopao katisha na inathibitisha bado ana washabiki wengi Tanzania, ila laki parefu.
Wanaishi kusema...Huyu akipanda Jukwaani unaona matumizi ya Laki moja yako sio hawa walamba midomo kazi kuruka ruka jukwaani na kuwaambia mashabiki piga keleleeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app