Koffi Olomide: Special Thread

Koffi Olomide: Special Thread

Kiingilio laki moja au milioni moja kwa meza moja yenye viti kumi na tiketi zote zimenunuliwa masaa 24 kabla ya show.


# Gracious Mopao.

# Muziki ya wakubwa.

# Somo kwa Diamond na wenzake: Acheni kupiga show za bure. Zile show Diamond unalipwa na kampuni Dola elfu arobaini upige show ya bure uwanjani kwa AJILI ya kupromote bidhaa au huduma za kampuni hiyo mwisho wa siku zitakuja kuua biashara ya show za muziki Tanzania.

Hiyo itawazoeza vibaya watanzania na mwisho wa siku ukipiga show ya kiingilio people won't show up.

# Kuuza album ilikufa.

# Show za mtu mmoja nazo zilikufa.

# Now mnataka kuua kabisa biashara ya show.

Jifunzeni kwa management ya Koffi. Asas wametoa kibunda cha kutosha kwa Koffi na show kiingilio laki na tiketi zote zimenunuliwa

Ndionasemaga maisha Magumu!!
Hapana maisha sio Magumu Pesa ipo ila tufanye kazi Kwa bidii zote, tulio baki tuache uvivu
 
Kiingilio laki moja au milioni moja kwa meza moja yenye viti kumi na tiketi zote zimenunuliwa masaa 24 kabla ya show.


# Gracious Mopao.

# Muziki ya wakubwa.

# Somo kwa Diamond na wenzake: Acheni kupiga show za bure. Zile show Diamond unalipwa na kampuni Dola elfu arobaini upige show ya bure uwanjani kwa AJILI ya kupromote bidhaa au huduma za kampuni hiyo mwisho wa siku zitakuja kuua biashara ya show za muziki Tanzania.

Hiyo itawazoeza vibaya watanzania na mwisho wa siku ukipiga show ya kiingilio people won't show up.

# Kuuza album ilikufa.

# Show za mtu mmoja nazo zilikufa.

# Now mnataka kuua kabisa biashara ya show.

Jifunzeni kwa management ya Koffi. Asas wametoa kibunda cha kutosha kwa Koffi na show kiingilio laki na tiketi zote zimenunuliwa

Acha uongo wewe unasemaje show ya bure wakati mtu analipwa? Kwani ulaya hakuna show za watu kuingia bure na wahusika wasanii wanalipwa?

Muziki utakufa vipi wakati msanii analipwa chake na mshabiki anapata burudani?
Sjaona kabisa hoja yako kabisa !
 
Acha uongo wewe unasemaje show ya bure wakati mtu analipwa? Kwani ulaya hakuna show za watu kuingia bure na wahusika wasanii wanalipwa?

Muziki utakufa vipi wakati msanii analipwa chake na mshabiki anapata burudani?
Sjaona kabisa hoja yako kabisa !
Kumbe hujaona hoja, basi ndio maana hujaelewa. Huwezi kuelewa kitu ambacho hujakiona
 
Kiingilio laki moja au milioni moja kwa meza moja yenye viti kumi na tiketi zote zimenunuliwa masaa 24 kabla ya show.


# Gracious Mopao.

# Muziki ya wakubwa.

# Somo kwa Diamond na wenzake: Acheni kupiga show za bure. Zile show Diamond unalipwa na kampuni Dola elfu arobaini upige show ya bure uwanjani kwa AJILI ya kupromote bidhaa au huduma za kampuni hiyo mwisho wa siku zitakuja kuua biashara ya show za muziki Tanzania.

Hiyo itawazoeza vibaya watanzania na mwisho wa siku ukipiga show ya kiingilio people won't show up.

# Kuuza album ilikufa.

# Show za mtu mmoja nazo zilikufa.

# Now mnataka kuua kabisa biashara ya show.

Jifunzeni kwa management ya Koffi. Asas wametoa kibunda cha kutosha kwa Koffi na show kiingilio laki na tiketi zote zimenunuliwa
hv mshaisahau Zari all white part ilikuwaje tena diamond akiwa sio huyu wa sasa Na ndio show iliyoingiza pesa nyingi kuliko show yoyote iliyowahi fanyika hapa bongo mpaka sasa
je itakuwaje afanye sasa
 
hv mshaisahau Zari all white part ilikuwaje tena diamond akiwa sio huyu wa sasa Na ndio show iliyoingiza pesa nyingi kuliko show yoyote iliyowahi fanyika hapa bongo mpaka sasa
je itakuwaje afanye sasa
Sasa hivi wasanii wameua biashara ya show , shows zote wanafanya bure
 
Papa mobimba oohhh..papa mobimba...**2......halafu mtu anaraka kumfananisha na mchafu mmoja hivi...anayejua kucheza na vinena vya wanawake na kuwatekeleza...olomide the legend is here...
😂😂😂😂😂😂 we ni shida
 
Back
Top Bottom