Hapo kavaa pazia bila shaka
Oooh nakupa nakupa namba zangu zote hadi namba ya nida nakupa.....Bahati unayo kubwa mno, tena una upako, kibali, na neema.
Nikija ng'ambo nitakutafuta. Ila ile namba ya Kimara haipo tena hewani siku hizi, sikupati
Begi limejaa sketi za ovyo ovyo na skonkinko kama hizoTena haumtudishii yeye, hautaamini kama nilale Kwa utakavyokutana navyo.
Sasa nani ataweza hizo pigo?
Alihukumiwa kifungo, au kulipa faini. Na kwa bahati nzuri alikata pia rufaa, na kushinda! Hivyo Papaa Mopao ni mtu huru. Na anaruhusiwa kuingia Ufaransa muda wowote uleHuyu jamaa si alihukumiwa kifungo france
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahNa utakuta hapo full si chini ya milion 8
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
jamaa nunda sana huyu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakwe zake je?Mkewe anatabu sana
Mkuu kwani Wakwe wanachangia kabati, mkewe ndiyo anachangia nae.Wakwe zake je?