bwege nazi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 700
- 904
Lakini movie inajulikana Ni scripted ila hiyo wwe walio wengi wanajua Ni ukweli wakati uongo Ni mwingi kuliko ukweli.Hata movies ni scripted, lakini watu tunazipenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini movie inajulikana Ni scripted ila hiyo wwe walio wengi wanajua Ni ukweli wakati uongo Ni mwingi kuliko ukweli.Hata movies ni scripted, lakini watu tunazipenda.
Swala sio kuburudisha.. ninachota kusema Ni kwamba walio wengi wanajua kwamba wwe ukweli hata mleta uzi nafikiri anafahamu hivyo. Ila kwakuwa ww umetambua kuwa Ni uongo na Mara nyingine mpaka matokeo hupangwa wenzio hamu wanapinga.Mkubwa hata Moira ni scripted lakini wachezaji huumia, hufa na kuburudisha pia. Vivyo hivyo Kwa mieleka. Ule mchezo usingekuwa na script na guidance kubwa wachezaji wangekuwa wanakufa sana. Anyway, hata mi nilivunjika moyo kujua kumbe ni maigizo na kibaya Menejiment wanapanga Matokeo kabisa wakati mwingine. Na Ukiwa mbishi they kick you out of WWE, so sad [emoji17]
ushaidi mkuu
Ananena kwa lugha? 😅😅😅maana walau music tunasikia kuna koffi olomide mwingine alikwa koffi annaan alishakufa sasa kuibuka na jina kofi sikuelewa wengine wahenga jamani! ila tukio mchanganyiko ni vema mtu akianzisha thread basi aidadavue wengi wajue vinginevyom anakuwa ananena kwa lugha
Kwani unadhani wanamieleka ni watumishi wa Mungu...?WWE ushetani ni mwingi sana! Nimejuaje? Sijui ila ushetani ni mwingi!
Yeah sikuelewa mpaka nilipotafsiriwa.Ananena kwa lugha? 😅😅😅
yah afu yule jamaa anacheza UFC
hata mimi sijamfatilia mkuu ila jamaa ni mcheza ucf ndomana lesnar alivyo muona kamuogopa kinoma inaonekana jamaa ni hatari kwanza nimfwatilie
*UFCAlishamchapa Lesnar kule UCF
*UFC
Ok. Hawa jamaa wa WWE naona wameamua kutengeneza story ya Brock vs Cain, kwavile walishapigana kule UFC na Brock Lesnar kubondwa vibaya, sasa naona wamemleta huku ili wapigane tena na ionekane Brock kashinda[emoji3][emoji3], sema itakuwa wamemlipa Cain mkwanja mzuri. Halafu Cain kwa sasa sio bingwa kule UFC amechakazwa vibaya miezi kadhaa iliyopita na Francis Ngannou so hana cha kupoteza, kaja huku kupiga mpunga wa bureYeah, nilikosea kidogo. Asante mkuu
Sasa yaani wewe mpk umri huu unaamini yale ni matokeo ya ukweli...poleunaushaidi gani ili tukuamini kama kweli ilipangwa?
Kwani movie mnazoingia ukkumbini kuangalia kuna ukweli pale?? Pale wanaruka kweli lakini matokeo yalishapangwa nani ashindeAkikujibu nipo tag maana Mzungu hawezi kulipia kiingilio scripted kiasi hicho
Nenda you tube huko hata lesnar yupo huko anakiri ni FAKE ukitaka mapambano ya kweli nenda MMAtutaaminije kama inapangwa tufunulie na ushaidi kabisa ili tukuelewe so unasoma tu afu unaamini kirahisi tu