Kofia ndogo wanazovaa Wayahudi huwa zina maana gani?

Kofia ndogo wanazovaa Wayahudi huwa zina maana gani?

Au Maarabu ya Buguruni kwa Mnyamani
Hivi,na mimi naweza kuanza kuandika na kuita:-
1-Matanzania ya kusaini mkataba wa DP World?
2-Machina ya fake goods and services?
3-Mahindi ya kula pilipili domoni mpaka washa "kwapani" yake?
4-Majeremani ya kufuga mustachi kama fagio la chelewa?
Na orodha iendeleee...
 
Kuna Vitu vimeanzisha na KANISA la Rumi ya KIPAGANI vinafanana na Ile DINI walioianzisha.

1. Rozali vs Tasbihi.

2. Yamaka vs Balakashia.

3. Kanzu vs Majoho.

4. Ubani vs Ubani.

5. Hijab vs Hijab za masister.

Islamic na Roman ni kitu kimoja
Kanzu vs majoho?

Hivi vitu vinafanana!?
 
Au wale wanawake wanaofunika kichwa maana yake nini na naona hata huku wanawake wengine wa kiafrika wameiga kama kawaida ya waafrika kuiga tamaduni za kigeni. Bure kabisa.
 
Kuna Vitu vimeanzisha na KANISA la Rumi ya KIPAGANI vinafanana na Ile DINI walioianzisha.

1. Rozali vs Tasbihi.

2. Yamaka vs Balakashia.

3. Kanzu vs Majoho.

4. Ubani vs Ubani.

5. Hijab vs Hijab za masister.

Islamic na Roman ni kitu kimoja
Achilia Uislam ni tawi la ukatoliki kwa waarabu Wakatoliki ndio waliouanzisha uislam.
Mfanano wa mavazi kwa dini zote tatu asili yake ni utamaduni wa mavazi wa maisha ya watu wa mashariki ya kati kabla ya ujio wa dini zote hizo tatu ambazo chimbuko lake ni eneo moja.
Mavazi ya kujisitiri ni ibada,suruali,suti,pensi,Fulani hizi zilibuniwa ulaya.
 
Kanzu,barakasia,yamaka,kofia za kidini,hijabu ni mavazi ya ibada kuonyesha unyenyekezi kwa Mungu
 
utambulisho
Wa.myahudi na hasa ugenini kule Israel
kwao kutaka kujitofautisha mpalestina wamefanana sana
 
Kwa nini huwa mnawaita Mayahudi badala ya Wayahudi?
Judaism ni ile hali ya uyahudi,so uwingi unatumia mayahudi wala haina shida,sema mtu mjinga/asiyejua au mwenye fikra za kibaguzi akili yake humtuma kua kwa kuita Mayahudi ni racist.
 
Mkuu ndiyo maana halisi ya utamaduni wa watu,wamakonde,wahehe nadhani na wamakonde wanachale usoni.......ni namna tu ya jamii fulani kujitambulisha
 
Hujui tofauti ya Judaism na Jews?!

Myahudi ni Jew, Wayahudi ni Jews. Mayahudi ni lugha ya hovyo.
Hujui hata umeandika nini,naona tu umeamua kukaza fuvu,au wewe ndio katika wale wanaowasujudia Waisrael?

Judaism ni Dini na Jews ni Jewish people.
 
Judaism ni ile hali ya uyahudi,so uwingi unatumia mayahudi wala haina shida,sema mtu mjinga/asiyejua au mwenye fikra za kibaguzi akili yake humtuma kua kwa kuita Mayahudi ni racist.
Katika kiswahili hakuna wingi Christianity, Islam au Judaism. Hakuna Makristo, Maislamu na hivyo hakuwezi kuwa na Mayahudi.

Christians ni Wa-kristo
Muslims ni Wa-islamu
Jews in Wa-yahudi
 
Back
Top Bottom