Kofia zake zaanza kushuka thamani , Aliyeimba "Chura "naye avalishwa! walioziweka makabatini kama ukumbusho wazitoa

Kofia zake zaanza kushuka thamani , Aliyeimba "Chura "naye avalishwa! walioziweka makabatini kama ukumbusho wazitoa

Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja kimaadili ni sawa?
cheap politics...tushuhulikie matatizo ya watanzania na umaskini wao
wao kulala kitanda kimoja itamsaidia nini familia iliyo sehem yenye nyumba mbovu, huduma mbovu za afya, maji machafu, n.k
 
Sera yake ni kuvalisha kofia 🤣🤣🤣😆

Huyu mzee dishi limeshayumba kwa kishindo cha Lisu
Ni kielelezo cha kuvalishwa ujinga kofia za CCM ni kielelezo cha umbumbumbu huwezi kuta mtu smart kichwani kavaa hiyo laana.
 
Kuvaa kofia na magwanda ya CCM ni ubwege, ukipita mitaa ya uswahilini unaonekana wewe wakuja tu. Na hii ni tangu long time before
 
cheap politics...tushuhulikie matatizo ya watanzania na umaskini wao
wao kulala kitanda kimoja itamsaidia nini familia iliyo sehem yenye nyumba mbovu, huduma mbovu za afya, maji machafu, n.k
Ungelimshauri hicho mtoa uzi ningekuona wa maana.
 
Weka ushahidi mbona unarukaruka?
Siku zote ninyi mnasemaGA CCM inaiba kura wakati wa uchaguzi. Mliishawahi kuweka ushahidi? Uweke hapa tena nani niweke wa Mdee na Bulaya wakiwa wamelala kitanda kimoja. Serious!!!!!
 
Nimekuambia lete ushahidi kwa utumbo ulioandika siyo mtoto wa kiume vidole juu kwa umbea
Mnaumia sana mkiambiwa ukweli sio? Basi jia ushahidi ninao na nikitaka nitauweka. Matter of time fella!
 
Siku zote ninyi mnasemaGA CCM inaiba kura wakati wa uchaguzi. Mliishawahi kuweka ushahidi? Uweke hapa tena nani niweke wa Mdee na Bulaya wakiwa wamelala kitanda kimoja. Serious!!!!!
Uliwahi ona wapi mimi nasema hayo? Naona umebanwa unaanza kurefusha kiswahili
 
Mnaumia sana mkiambiwa ukweli sio? Basi jia ushahidi ninao na nikitaka nitauweka. Matter of time fella!
Ndo uweke ,nye ndo wale mnaochafua image za watu hovyo kwa kukaa kwenye kahawa za vijiweni
 
cheap politics...tushuhulikie matatizo ya watanzania na umaskini wao
wao kulala kitanda kimoja itamsaidia nini familia iliyo sehem yenye nyumba mbovu, huduma mbovu za afya, maji machafu, n.k
Na vipi sunura kupewa kofia kuna muathiri vipi?
 
Back
Top Bottom