Kofia zake zaanza kushuka thamani , Aliyeimba "Chura "naye avalishwa! walioziweka makabatini kama ukumbusho wazitoa

Kofia zake zaanza kushuka thamani , Aliyeimba "Chura "naye avalishwa! walioziweka makabatini kama ukumbusho wazitoa

Siku zote ninyi mnasemaGA CCM inaiba kura wakati wa uchaguzi. Mliishawahi kuweka ushahidi? Uweke hapa tena nani niweke wa Mdee na Bulaya wakiwa wamelala kitanda kimoja. Serious!!!!!
Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo iliwapoteza akina azory gwanda?Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo ilimpiga Lissu risasi?Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo inaleta wasiojulikana?Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo inasababisha uhuru wa habari kuminywa Tanzania?Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo inasababisha Magufuli kufanya ufisadi wa kutisha wa matrillion ya Watanzania kupitia Mayanga construction?Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo ilisababisha wapinzani kupigwa stop kufanya siasa kwa miaka mitano wakati CCM ilikuwa ni ruksa?Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo inasababisha vyombo vyote vya habari Tanzania kutishika na kuonyesha tu kampeni za CCM na kukwepa kuonyesha za upinzani?Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo ilisababisha maiti za watanzania zitapakae ufukweni?


Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja imeleta majanga gani Tanzania?
 
Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo iliwapoteza akina azory gwanda?Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo ilimpiga Lissu risasi?Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo inaleta wasiojulikana?Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo inasababisha uhuru wa habari kuminywa Tanzania?Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo inasababisha Magufuli kufanya ufisadi wa kutisha wa matrillion ya Watanzania kupitia Mayanga construction?Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo ilisababisha wapinzani kupigwa stop kufanya siasa kwa miaka mitano wakati CCM ilikuwa ni ruksa?Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo inasababisha vyombo vyote vya habari Tanzania kutishika na kuonyesha tu kampeni za CCM na kukwepa kuonyesha za upinzani?Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja ndiyo ilisababisha maiti za watanzania zitapakae ufukweni?


Mdee na Bulaya kulala kitanda kimoja imeleta majanga gani Tanzania?
Hapana Behaviourist. Ila Mdee na Bulaya kulala ndio ilimfanya Lissu kwenda Ubelgiji kujifunza zaidi masuala hayo! Maswali mengine?
 
Mzee anateseka sana. Alinchosha siku ile alivyochezeshwa singeli kibaharia 😂😂
 
Back
Top Bottom