Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatakiwa ukajaribu kwanza kama alivyojaribu mtoa mada na mwisho wa siku na wewe uje utupe mrejesho!!Sasa hiko kitu kinamfanyaje mwanaume kuwa shoga?
Kwa hiyo unataka kusema mtoa mada anahitaji wana Saikolojia walio bobea katika masuala hayo kwa ajili ya ushauri nasaha!! Mfano huyu Mwanasaikolojia wetu nguli wa masuala hayo cocastic?Sijaona uhusiano kati ya hiyo kitu na ushoga kwakweli kama kuna aliyeelewa naomba aeleze
Wanawake wanavipenda sana hivyo vidubwasha, yaani anaweza akaingia chooni kujisaidia akakaa muda mrefu kwelikweli.Basi kifunge kwa ajili ya mkeo chumbani kwenu,kitamfaa na kumfariji siku za taabu...
HahahaOne man down. I repeat...one man down.
Nadhani atakuwa anasikia utamu wakati koki inampekecha pekecha kinyeo ana hatari huyuKwani hizo koki zinakufanya usikie utamu? Basi tumia kopo
Watu wanatangaza biashara, wengine mnapinga biashara zao.kwani wewe ulivyoitumia ulijiskiaje??
Tuanzie hapo kwanza.