Maswali ya binadamu mwenye akili kubwa utayajua tuu. Mkuu umemaliza hili, kama mtu anapingana na Andiko la Kabendera basi aje na majibu ya maswali haya..Christopher Kadego ameuawa, au hajauwawa?
..Christopher Kadego alikuwa akimpinga Magufuli, au alikuwa akimuunga mkono?
Magu alimfanya kitu mbaya hata akiingia kaburini atakua anaweweseka tumwandishi ana psychosis huyo hata akiona mtu anaefanana na magu anapandisha mashetani.
KabisaHuyu jamaa anadhalilisha watunzi wa nonfictional books. Unverifiable stories za sampuli hii makao yake ni kwenye magazeti ya udaku na fictional books. It’s a worthless book!
ok, upo sahihi kabisa.Wewe unajua alipo Kadego?
Ilitolewa na mahakama gani?Hukumu ya muasi ni kifo kwahiyo alitekeleza hukumu.
Kwenye jaribio la mapinduzi ya mwaka 1982 kulikuwa na wahusika zaidi ya kumi,take note wengine wapo hai mpaka leo ukiacha Mohamed Tamimu ambaye aliuwawa siku mbili kabla ya jaribio wengine walikufa vifo vya kawaida kama wakina Zakaria Hans Pope,Maganga na wengine baadhi bado wako hai tuko nao humu humu nchini.Hawajawahi kuonekana kuwa tishio kwa miaka yote hiyo na wengine inawezekana kabisa waliiva zaidi kuliko mzee Kadego kwenye mafunzo waliyoyapata sanasana waliopata mafunzo Cuba chini ya Field marshal Fidel Castro.Naendelea kusoma kitabu cha mwandishi Erik Kabendera, In the name of the President.
Kabendera anafichua juu ya tukio la mauaji ya Komando mstaafu wa JWTZ na ambaye alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la Mwaka 1982 dhidi ya Serikali ya Nyerere.
Kabendera anasema hayo wakati alipokuwa Gereza la Segerea wakati alipopewa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha pamoja ukwepaji kodi. “ Nilikuwa selo wakati nilipopewa kikaratasi kutoka kwa mtu asiyejulikana akiniambia kuwa Chistopher Kadego alikamatwa siku 3 nyuma kabla ya kukamatwa kwangu kisha kupigwa risasi na watu wasiojulikana.”
Kabendera anaendelea kufafanua; Kadego nilimfahamu kama miaka 15 iliyopita na alikuwa mtu mwema, sema kitendo chake kushiriki katika makundi mbalimbali ya waasi kama lile kundi la Kabila katika Vita dhidi ya Mobutu mwaka 1997 na baadae kupinga baadhi ya maamuzi ya Magufuli nafikiri matatizo yalianzia hapo.
Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.
Ikumbukwe Kadego alikuwa na miaka 67 hivyo hakuwa Kadego yule kijanaa machachari. Hayati Magufuli aliagiza Kadego “ashughulikiwe” maana alikuwa anahatarisha usalama wake.
Akatekwa na kupigwa risasi na watu waliokuja kujulikana baadae kuwa ni watu wa ikulu.
My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
Martial courtIlitolewa na mahakama gani?
Naomba icho kitabu ndugu
Haya maswali angeweza kuyajibu kwa ufasaha mwendazake ni kwa nini aliamua huyo mzee auwawe,uzuri nayeye ameshaungana naye kuzimu.Kwenye jaribio la mapinduzi ya mwaka 1982 kulikuwa na wahusika zaidi ya kumi,take note wengine wapo hai mpaka leo ukiacha Mohamed Tamimu ambaye aliuwawa siku mbili kabla ya jaribio wengine walikufa vifo vya kawaida kama wakina Zakaria Hans Pope,Maganga na wengine baadhi bado wako hai tuko nao humu humu nchini.Hawajawahi kuonekana kuwa tishio kwa miaka yote hiyo na wengine inawezekana kabisa waliiva zaidi kuliko mzee Kadego kwenye mafunzo waliyoyapata sanasana waliopata mafunzo Cuba chini ya Field marshal Fidel Castro.
Swali iweje mzee Kadego pekee ndio aonekane kubwa tishio kwenye uongozi wa JPM tena akiwa nje ya system na umri ukiwa umeenda?
Mzee Kadego alikuwa na ushawishi gani wa kimfumo mpaka kuwa tishio kwa kiwango hicho kwa JPM?
Kama muandishi wa kitabu anasimulia alikuwa gerezani akapatiwa kikaratasi tena na mtu asiyejulikana kuna legitimacy gani kwenye kuhalalisha ili watu waamini alichoandika muandishi?
Najaribu kujiuliza tu maswali machache bila kuwa biased.
Huruma kwanza inaanza na wewe unayeamini kila ujinga unaousikia au kuusoma mahali fulani.Wewe ni wa kuhurumiwa tu
...ukweli upi huo?Kabendera aliandika ukweli kuhusu dhalimu magu.
kuna mtu JF ambaye hajui kwamba wewe ni mamluki? Kibaraka?Unatia aibu sana!
Narudia tena, Hakuna Tajiri Chawakuna mtu JF ambaye hajui kwamba wewe ni mamluki? Kibaraka?
...aibu?
☝🏿 aibu?
...baada ya nyuzi zako zote zile za kichawa na kujipendekeza pamoja na hiyo picha juu, gaidi mbowe alipata nini?
...sijakushinda🙌🏾
Kabendera ana ufala gani wa kutumika boss? Ama hujui kutumika nini maanaake?...ukweli upi huo?
...wewe na wenzako wote baada ya kushindwa kuzima fukuto la joto lake-na hivyo vile hamtambuliki-ndio mkaenda kumtumia Kabendera, kwasababu tu ni Mwandishi mwenye credibilty!
btw, hana hiyo credibility, alichokiandika mule ni maokoto ya uwongo mliokuwa mkitapakaza mitandaoni including JF
anawezaje kuwa wa kuaminiwa?
Follow the Money.Kabendera ana ufala gani wa kutumika boss? Ama hujui kutumika nini maanaake?
Soma kitabu kizima utaona alivyokoswakoswaUongo mtupu
Kwanini akumuua Kabendera?
Nakipataje hichi kitabu???Naendelea kusoma kitabu cha mwandishi Erik Kabendera, In the name of the President.
Kabendera anafichua juu ya tukio la mauaji ya Komando mstaafu wa JWTZ na ambaye alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la Mwaka 1982 dhidi ya Serikali ya Nyerere.
Kabendera anasema hayo wakati alipokuwa Gereza la Segerea wakati alipopewa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha pamoja ukwepaji kodi. “ Nilikuwa selo wakati nilipopewa kikaratasi kutoka kwa mtu asiyejulikana akiniambia kuwa Chistopher Kadego alikamatwa siku 3 nyuma kabla ya kukamatwa kwangu kisha kupigwa risasi na watu wasiojulikana.”
Kabendera anaendelea kufafanua; Kadego nilimfahamu kama miaka 15 iliyopita na alikuwa mtu mwema, sema kitendo chake kushiriki katika makundi mbalimbali ya waasi kama lile kundi la Kabila katika Vita dhidi ya Mobutu mwaka 1997 na baadae kupinga baadhi ya maamuzi ya Magufuli nafikiri matatizo yalianzia hapo.
Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.
Ikumbukwe Kadego alikuwa na miaka 67 hivyo hakuwa Kadego yule kijanaa machachari. Hayati Magufuli aliagiza Kadego “ashughulikiwe” maana alikuwa anahatarisha usalama wake.
Akatekwa na kupigwa risasi na watu waliokuja kujulikana baadae kuwa ni watu wa ikulu.
My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
Hakika mtu yule alikuwa mwovu sana moto wa jehanam uendelee kumtesaHaya maswali angeweza kuyajibu kwa ufasaha mwendazake ni kwa nini aliamua huyo mzee auwawe,uzuri nayeye ameshaungana naye kuzimu.
Hicho hapo post # 188 jipakulieNakipataje hichi kitabu???
Ungesoma hicho kitabu au at least ungejua yaliyomsibu usingetoa comment hii. No research no right to speak.Uongo mtupu
Kwanini akumuua Kabendera?