Komando mstaafu na aliyeshriki Jaribio la Mapinduzi dhidi ya Nyerere mwaka 1982, Christopher Kadego alitekwa na kuuwawa kwa amri ya Rais Magufuli

Komando mstaafu na aliyeshriki Jaribio la Mapinduzi dhidi ya Nyerere mwaka 1982, Christopher Kadego alitekwa na kuuwawa kwa amri ya Rais Magufuli

..Christopher Kadego ameuawa, au hajauwawa?

..Christopher Kadego alikuwa akimpinga Magufuli, au alikuwa akimuunga mkono?
Maswali ya binadamu mwenye akili kubwa utayajua tuu. Mkuu umemaliza hili, kama mtu anapingana na Andiko la Kabendera basi aje na majibu ya maswali haya
 
Naendelea kusoma kitabu cha mwandishi Erik Kabendera, In the name of the President.

Kabendera anafichua juu ya tukio la mauaji ya Komando mstaafu wa JWTZ na ambaye alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la Mwaka 1982 dhidi ya Serikali ya Nyerere.

Kabendera anasema hayo wakati alipokuwa Gereza la Segerea wakati alipopewa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha pamoja ukwepaji kodi. “ Nilikuwa selo wakati nilipopewa kikaratasi kutoka kwa mtu asiyejulikana akiniambia kuwa Chistopher Kadego alikamatwa siku 3 nyuma kabla ya kukamatwa kwangu kisha kupigwa risasi na watu wasiojulikana.”

Kabendera anaendelea kufafanua; Kadego nilimfahamu kama miaka 15 iliyopita na alikuwa mtu mwema, sema kitendo chake kushiriki katika makundi mbalimbali ya waasi kama lile kundi la Kabila katika Vita dhidi ya Mobutu mwaka 1997 na baadae kupinga baadhi ya maamuzi ya Magufuli nafikiri matatizo yalianzia hapo.

Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.

Ikumbukwe Kadego alikuwa na miaka 67 hivyo hakuwa Kadego yule kijanaa machachari. Hayati Magufuli aliagiza Kadego “ashughulikiwe” maana alikuwa anahatarisha usalama wake.

Akatekwa na kupigwa risasi na watu waliokuja kujulikana baadae kuwa ni watu wa ikulu.

My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
Kwenye jaribio la mapinduzi ya mwaka 1982 kulikuwa na wahusika zaidi ya kumi,take note wengine wapo hai mpaka leo ukiacha Mohamed Tamimu ambaye aliuwawa siku mbili kabla ya jaribio wengine walikufa vifo vya kawaida kama wakina Zakaria Hans Pope,Maganga na wengine baadhi bado wako hai tuko nao humu humu nchini.Hawajawahi kuonekana kuwa tishio kwa miaka yote hiyo na wengine inawezekana kabisa waliiva zaidi kuliko mzee Kadego kwenye mafunzo waliyoyapata sanasana waliopata mafunzo Cuba chini ya Field marshal Fidel Castro.

Swali iweje mzee Kadego pekee ndio aonekane kubwa tishio kwenye uongozi wa JPM tena akiwa nje ya system na umri ukiwa umeenda?
Mzee Kadego alikuwa na ushawishi gani wa kimfumo mpaka kuwa tishio kwa kiwango hicho kwa JPM?
Kama muandishi wa kitabu anasimulia alikuwa gerezani akapatiwa kikaratasi tena na mtu asiyejulikana kuna legitimacy gani kwenye kuhalalisha ili watu waamini alichoandika muandishi?

Najaribu kujiuliza tu maswali machache bila kuwa biased.
 
Kwenye jaribio la mapinduzi ya mwaka 1982 kulikuwa na wahusika zaidi ya kumi,take note wengine wapo hai mpaka leo ukiacha Mohamed Tamimu ambaye aliuwawa siku mbili kabla ya jaribio wengine walikufa vifo vya kawaida kama wakina Zakaria Hans Pope,Maganga na wengine baadhi bado wako hai tuko nao humu humu nchini.Hawajawahi kuonekana kuwa tishio kwa miaka yote hiyo na wengine inawezekana kabisa waliiva zaidi kuliko mzee Kadego kwenye mafunzo waliyoyapata sanasana waliopata mafunzo Cuba chini ya Field marshal Fidel Castro.

Swali iweje mzee Kadego pekee ndio aonekane kubwa tishio kwenye uongozi wa JPM tena akiwa nje ya system na umri ukiwa umeenda?
Mzee Kadego alikuwa na ushawishi gani wa kimfumo mpaka kuwa tishio kwa kiwango hicho kwa JPM?
Kama muandishi wa kitabu anasimulia alikuwa gerezani akapatiwa kikaratasi tena na mtu asiyejulikana kuna legitimacy gani kwenye kuhalalisha ili watu waamini alichoandika muandishi?

Najaribu kujiuliza tu maswali machache bila kuwa biased.
Haya maswali angeweza kuyajibu kwa ufasaha mwendazake ni kwa nini aliamua huyo mzee auwawe,uzuri nayeye ameshaungana naye kuzimu.
 
Kabendera aliandika ukweli kuhusu dhalimu magu.
...ukweli upi huo?

...wewe na wenzako wote baada ya kushindwa kuzima fukuto la joto lake-na hivyo vile hamtambuliki-ndio mkaenda kumtumia Kabendera, kwasababu tu ni Mwandishi mwenye credibilty!
btw, hana hiyo credibility, alichokiandika mule ni maokoto ya uwongo mliokuwa mkitapakaza mitandaoni including JF

anawezaje kuwa wa kuaminiwa?
 
Unatia aibu sana!
kuna mtu JF ambaye hajui kwamba wewe ni mamluki? Kibaraka?

...aibu?
f05xqqiwiaephzc-jpg.2687669

☝🏿 aibu?

...baada ya nyuzi zako zote zile za kichawa na kujipendekeza pamoja na hiyo picha juu, gaidi mbowe alipata nini?

...sijakushinda🙌🏾
 
kuna mtu JF ambaye hajui kwamba wewe ni mamluki? Kibaraka?

...aibu?
f05xqqiwiaephzc-jpg.2687669

☝🏿 aibu?

...baada ya nyuzi zako zote zile za kichawa na kujipendekeza pamoja na hiyo picha juu, gaidi mbowe alipata nini?

...sijakushinda🙌🏾
Narudia tena, Hakuna Tajiri Chawa
 
...ukweli upi huo?

...wewe na wenzako wote baada ya kushindwa kuzima fukuto la joto lake-na hivyo vile hamtambuliki-ndio mkaenda kumtumia Kabendera, kwasababu tu ni Mwandishi mwenye credibilty!
btw, hana hiyo credibility, alichokiandika mule ni maokoto ya uwongo mliokuwa mkitapakaza mitandaoni including JF

anawezaje kuwa wa kuaminiwa?
Kabendera ana ufala gani wa kutumika boss? Ama hujui kutumika nini maanaake?
 
Naendelea kusoma kitabu cha mwandishi Erik Kabendera, In the name of the President.

Kabendera anafichua juu ya tukio la mauaji ya Komando mstaafu wa JWTZ na ambaye alishiriki katika Jaribio la Mapinduzi la Mwaka 1982 dhidi ya Serikali ya Nyerere.

Kabendera anasema hayo wakati alipokuwa Gereza la Segerea wakati alipopewa kesi ya uhujumu uchumi, utakatishaji wa fedha pamoja ukwepaji kodi. “ Nilikuwa selo wakati nilipopewa kikaratasi kutoka kwa mtu asiyejulikana akiniambia kuwa Chistopher Kadego alikamatwa siku 3 nyuma kabla ya kukamatwa kwangu kisha kupigwa risasi na watu wasiojulikana.”

Kabendera anaendelea kufafanua; Kadego nilimfahamu kama miaka 15 iliyopita na alikuwa mtu mwema, sema kitendo chake kushiriki katika makundi mbalimbali ya waasi kama lile kundi la Kabila katika Vita dhidi ya Mobutu mwaka 1997 na baadae kupinga baadhi ya maamuzi ya Magufuli nafikiri matatizo yalianzia hapo.

Magufuli akapenyezewa taarifa kuwa Kadego alikuwa ni Komando mstaafu hatari na aliyeshiriki jaribio la kumpindua Nyerere.

Ikumbukwe Kadego alikuwa na miaka 67 hivyo hakuwa Kadego yule kijanaa machachari. Hayati Magufuli aliagiza Kadego “ashughulikiwe” maana alikuwa anahatarisha usalama wake.

Akatekwa na kupigwa risasi na watu waliokuja kujulikana baadae kuwa ni watu wa ikulu.

My note;
Hayati alikuwa muoga sana, unamuuaje mzee wa miaka 67? Hayati hakuwa na ubinadamu kabisa.
Nakipataje hichi kitabu???
 
Back
Top Bottom