Komando mstaafu na aliyeshriki Jaribio la Mapinduzi dhidi ya Nyerere mwaka 1982, Christopher Kadego alitekwa na kuuwawa kwa amri ya Rais Magufuli

Komando mstaafu na aliyeshriki Jaribio la Mapinduzi dhidi ya Nyerere mwaka 1982, Christopher Kadego alitekwa na kuuwawa kwa amri ya Rais Magufuli

Ungesoma hicho kitabu au at least ungejua yaliyomsibu usingetoa comment hii. No research no right to speak.
Kitabu kimeandikwa na mwenye chuki na huyo aliyemuandika, dhamira yake kumchafua imetimia,je kwanini yeye akuuliwa?
 
nilichogundua ni kua watu wanaopinga yaliyoandikwa kwenye kitabu, karibu wote hawajawahi kukisoma hicho kitabu wala hawajawahi kumsikiliza muandishi japo akikielezea kwa ufupi,

yaani wameishia kukisikia tu mtandaoni kama hivi, na wanakuja kubishana na kukasirika,
wamejipanga tuu kuja kubisha

viongozi wengine wako vizuri kwenye ku manipulate akili za watu wazi shape vile wanavyotaka waonekane na wananchi

"mtu IQ ndogo haimaanishi kua anakua haelewi au katika maisha ya kawaida tuu kwamba utamtambua

bali mtu mwenye IQ ndogo anakua na shida kwenye maswala yanayohitaji Cognitive Thinking na anakua rahisi kua manipulated"
 
Magufuli alikuwa katili aliyeona kuua watu ndio namna nzuri ya kupambana nao, cha ajabu yeye mwenyewe kalamba mchanga hata miaka 10 ya urais hakumaliza.
Mbona wakati wa JK watu wakitekwa ham hamkusema kwa amri yake. Mbona sasa wanatekwa na kuuawa hamsemi ni amri ya mtu fulani? We itakuwa unetumwa kumchafua, hachafuki
 
Mbona wakati wa JK watu wakitekwa ham hamkusema kwa amri yake. Mbona sasa wanatekwa na kuuawa hamsemi ni amri ya mtu fulani? We itakuwa unetumwa kumchafua, hachafuki
Sawa, wewe msafishe. Sema dunia ina maajabu, yaani "Kafa Daktari Magufuli, kapona Mgonjwa Lissu." Inashangaza sana.
 
kivipi dadavua, uwongo wake vinvinevyo huna hoja kaa kimya.
Mshakopa virushi na visimu vya mkopo mnajikuta vidume wenyewe kuambia watu wakae kimya. Halafu ukute mimi baba yako, shauri yako.
 
Back
Top Bottom