Hiyo tumejifunza tukiwa skauti. Nachosema hapa ni kwamba inawezekana alichokionyesha kipo too ceremonial, ndo maama amejipachika mizigo mingi ambayo mingine ni unnecessary kwa maoni yangu. Kwanza inaonekana ata mobility ni shida, kwenye vita ukitembea kwa mwendo ule hiyo mission itakuwa impossible.Umewah kusikia stori kwamba moja ya mafunzo ni kuachwa porini kwa siku kadhaa na inatakiwa u survive?
Haupo serious. Fuatilia vzuri hiyo vita kuna maeneo yana misitu kama ya kongo au ya bongo tuHakuna mapori kule
Inawezekana.Sijaona alipohoji. Au unaota?
Kwani tunaopigana nao sisi wapo advanced hvo..?Mbona hawakutuonyesha drones na ishu za electronic warfare, maana vita ya siku hz imebadilika sana, kuna hitajika men on boots but bila drones na jammers hiyo vita itakuwa ngumu sana kwako. Wajifunze kupitia vita ya Ukrain. Hayo malori na vifaru siyo sababu ya wewe kushinda vita, drones electronic warfare ndiyo kila kitu, kuanzia kwenye survaillance mpaka guidance ya mabomu na artillery. Rwanda wanewekeza sana kwenye hilo baada ya kuona amszungukwa na nanchi yenye silaha nzito nzito.
Huyu akipigwa ambush kama wale IDF kule Gaza anasahau hata kama amebeba manati.Kwenye uwanja wa vita kuna mambo mengi sana, nilikuwa sijui kwamba Makomandoo huwa wanatumia manati wakiwa kwenye ulingo wa Vita.
ANGALIA HAPA JINSI KOMANDO ALIVYOBEBA MANATI
View attachment 2870543
Rwanda amejikita huko. Then iwish tunazo air defence systems maana, Urusi leo hii anapona kutokana kwenye hizo Tomhawks za mmarekani kutokana na kuwa na mfumo mzuri wa kujilinda pamoja na mfumo mzuri wa electronic warfare. Otherwise Urusi ingekuwa imeshafutika.Kwani tunaopigana nao sisi wapo advanced hvo..?
Hatoweza ata kukimbia wala kujificha kwa mzigo aliobebaHuyu akipigwa ambush kama wale IDF kule Gaza anasahau hata kama amebeba manati.
Wewe unapigana na nani, zaidi ya tumbo lako?Kwani tunaopigana nao sisi wapo advanced hvo..?
Kama hawana manati, basi hawajaiva kwenye medani ya ukomandooMbona makomandoo wa Urusi, Ukraine, Israel ambao wapo kwenye real battle hatuoni wakiwa wamebeba manati
Wewe unaetaka hizo drone una ji compare na yupi wa kupambana nae ???Rwanda amejikita huko. Then iwish tunazo air defence systems maana, Urusi leo hii anapona kutokana kwenye hizo Tomhawks za mmarekani kutokana na kuwa na mfumo mzuri wa kujilinda pamoja na mfumo mzuri wa electronic warfare. Otherwise Urusi ingekuwa imeshafutika.
Sahihi kabisa...... Nakubali...!1
Wewe unapigana na nani, zaidi ya tumbo lako?
hakunaHivi akuna makomando wanawake?
Nchi nyingi za Africa ndio Wana haya mambo huwez kuyaona kwa Delta Force, SAS ama Sayeret Matkal.Kwenye uwanja wa vita kuna mambo mengi sana, nilikuwa sijui kwamba Makomandoo huwa wanatumia manati wakiwa kwenye ulingo wa Vita.
ANGALIA HAPA JINSI KOMANDO ALIVYOBEBA MANATI
View attachment 2870543
Wachaçhe sana.. mfano komando jideHivi akuna makomando wanawake
Ni vile wanajitoa ufahamu tu...hao jamaa wanamazoezi makali sana na husoma kwa gharama kubwa sana
acha kebehi za kitoto
Nimecheka sana kwamba Daudi alimpga goliath kwa manati na mawe laini🤣😂😂😂Rejea historia ya Goliath na Mfalme Daudi akiwa kinda, hapo ndo utajua haujui nguvu ya silaha ndogo km hiyo kwenye uwanda wa vita
Drone muhimu sana kwenye survaillance, n hata guidance, yale mambo ya kufyatua makombora bila kujua yanatua wapi yamepitwa na wakati, vita siku hizi ni uchumi, tumia silaha chache but maangamizi makubwa. Kuna hizi pia zinaitwa quadcopter, ni drones zinabeba mizinga au grenades zinakuja mpaka hapo juu yako zeni kinaachia bomu. Hizo drones zimebadilisha sana tides ya vita kwa sana. Kuna zingine zinaitwa fpv drones ni drones zinakuwa suicidal inakuja kujibamiza hapo mlipo but inakuwa imebeba milipuko. Kombination na hiyo inaweza hamisha vita kwenye favour yenu.Wewe unaetaka hizo drone una ji compare na yupi wa kupambana nae ???