Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha,MkuuAisee hawa makomandoo wetu ni hatari sana!
Hata Navy SEALs hawaoni ndani.
Yaani hawa wa kwetu wangepewa kazi ya kumtafuta Osama baada ya 9/11, ingechukua siku mbili tu kumpata.
Na ndo maana huwezi kuwaona Delta Force, Army Rangers, au Navy SEALs kwenye maonyesho yoyote yale kwa sababu watatia aibu tu ukilinganisha na hawa wa kwetu!
JWTZ ni jeshi hatari sana 🫡.
😉
Hawa ni ni makomandoo feki hawa. Mikwala mingi tu ya kutishia wananchi na kulinda watawala. Makomandoo gani wanashiki kwenye uminyaji demokrasia ili nchi iibuwe raslimali.Ningekupa maana ila ulichonikwaza umehoji kwa kukashifu.
Japo nikupe picha kidogo una uelewa gani na survival skills hasa katika jungle?
Tanzania usanii ni mwingi. Hawa wanatumika kutishia raia lakini kiuhasilia hawana lolote. Waswahili hawakukosea waliposema debe tupu haliishi kuvuma.Aisee hawa makomandoo wetu ni hatari sana!
Hata Navy SEALs hawaoni ndani.
Yaani hawa wa kwetu wangepewa kazi ya kumtafuta Osama baada ya 9/11, ingechukua siku mbili tu kumpata.
Na ndo maana huwezi kuwaona Delta Force, Army Rangers, au Navy SEALs kwenye maonyesho yoyote yale kwa sababu watatia aibu tu ukilinganisha na hawa wa kwetu!
JWTZ ni jeshi hatari sana 🫡.
😉
Mkuu ''salute''. Wewe umemaliza kila kitu. Hawa hawana lolote hawa. Nchi inapigwa na waarabu kwa kwenda mbele wao wanatembea na mamizigo kama vichaa wa Tabata.Mshamba tu nchi inaliwa unapigwa wao wamebeba mamizigo km wakimbizi wa congo
Pumbavu kabisa!
Kwani Kongo uliona Makomandoo wangapi?Mbona wale waumoja wa mataifa walioenda Congo na Monusco hatukuona hizo manati. Nahisi huyo jamaa alikuwa nasherehesha tu hizo manati sijui beleshi sidhani kama ni tactical. Kamanda anapaswa kubeba silaha muhimu zitakazo msaidia, sasa fire extinguisher, sufuria, sijui beleshi za nini? Alafu mbona sura ni zile zile za hao makomando au tunao wachache, au hao ni kwa ajili ya sherehe, unaweza kuta ni majamaa ya skauti tu.
Hawa ni "makomandoo" Wa maonyesho tu, mavitu mengi kama mganga wa kienyeji!Kwenye uwanja wa vita kuna mambo mengi sana, nilikuwa sijui kwamba Makomandoo huwa wanatumia manati wakiwa kwenye ulingo wa Vita.
ANGALIA HAPA JINSI KOMANDO ALIVYOBEBA MANATI
View attachment 2870543
Sikuwahesabu. Huenda kwakuwa hawakuwa wamebeba sufuria na mnanati. Tutumie picha ya komando wa Monusco aliyeveba fire extinguisher na sufuriaKwani Kongo uliona Makomandoo wangapi?
Wenzetu wakituona wanatushangaa. E-war v/s conventional war.Mbona hawakutuonyesha drones na ishu za electronic warfare, maana vita ya siku hz imebadilika sana, kuna hitajika men on boots but bila drones na jammers hiyo vita itakuwa ngumu sana kwako. Wajifunze kupitia vita ya Ukrain. Hayo malori na vifaru siyo sababu ya wewe kushinda vita, drones electronic warfare ndiyo kila kitu, kuanzia kwenye survaillance mpaka guidance ya mabomu na artillery. Rwanda wanewekeza sana kwenye hilo baada ya kuona amszungukwa na nanchi yenye silaha nzito nzito.
We ni mweupe kabsa kichwaniRwanda amejikita huko. Then iwish tunazo air defence systems maana, Urusi leo hii anapona kutokana kwenye hizo Tomhawks za mmarekani kutokana na kuwa na mfumo mzuri wa kujilinda pamoja na mfumo mzuri wa electronic warfare. Otherwise Urusi ingekuwa imeshafutika.
Lakini mkubwa tuwe wawazi tu unaweza mtumia highly trained commando kwenda katika ishu hizo tena kwa raia aliyeapa kumlinda? Yani askari aliyefuzu kuvaa maroon beret na mwenye Silver wings kifuani kushoto (full package)..Hawa ni ni makomandoo feki hawa. Mikwala mingi tu ya kutishia wananchi na kulinda watawala. Makomandoo gani wanashiki kwenye uminyaji demokrasia ili nchi iibuwe raslimali.
Leta factsWe ni mweupe kabsa kichwani
So unataka kutuambia hao siyi real comando, ni wa manyesho?Lakini mkubwa tuwe wawazi tu unaweza mtumia highly trained commando kwenda katika ishu hizo tena kwa raia aliyeapa kumlinda? Yani askari aliyefuzu kuvaa maroon beret na mwenye Silver wings kifuani kushoto (full package)..
Achana na wanasiasa.
Bongo Kuna vituko dah naona Fire extinguisher na manatiKwenye uwanja wa vita kuna mambo mengi sana, nilikuwa sijui kwamba Makomandoo huwa wanatumia manati wakiwa kwenye ulingo wa Vita.
ANGALIA HAPA JINSI KOMANDO ALIVYOBEBA MANATI
View attachment 2870543
Nani kakudanganya hakuna mapori?Hakuna mapori kule
Dah mpaka leo tunadaka nyoka kwahyo kwenye vita kuna nyoka au damu yake inamsaada gani mbona hayo mambo wanafanya wahadzabe kwahyo nao ni makomando?Vita ni taaluma pana vilevile, unapozungumzia issue ya SF ina vitu vingi mno, kuna moja ya zoezi la ku handle kukamata nyoka wakali especially anatumika sana cobra na kumuua na kunywa damu yake ukiachana na mapigano tu kuna namna ya kuishi na msitu (jungle survival) kwahiyo in reality kuna mengi achana na sinema.
Hao ni commando nadhani kila kitu kipo wazi alichosema yeye mkuu hapo kuwa wanatumika kisiasa jambo ambalo nilikuwa namkatalia (Refer kauli ya RC pia naimani unafahamu askari 5000 ki vita ni idadi sawa na kitu gani)..So unataka kutuambia hao siyi real comando, ni wa manyesho?
Hiyo ni joint exercise iliyofanyika kati ya green berets wa US army na SF ya Thailand miaka hii tu hivi karibuni.Dah mpaka leo tunadaka nyoka kwahyo kwenye vita kuna nyoka au damu yake inamsaada gani mbona hayo mambo wanafanya wahadzabe kwahyo nao ni makomando?