Komando na Manati

Komando na Manati

Aisee hawa makomandoo wetu ni hatari sana!

Hata Navy SEALs hawaoni ndani.

Yaani hawa wa kwetu wangepewa kazi ya kumtafuta Osama baada ya 9/11, ingechukua siku mbili tu kumpata.

Na ndo maana huwezi kuwaona Delta Force, Army Rangers, au Navy SEALs kwenye maonyesho yoyote yale kwa sababu watatia aibu tu ukilinganisha na hawa wa kwetu!

JWTZ ni jeshi hatari sana 🫡.

😉
Hahahahaha,Mkuu
 
Ningekupa maana ila ulichonikwaza umehoji kwa kukashifu.
Japo nikupe picha kidogo una uelewa gani na survival skills hasa katika jungle?
Hawa ni ni makomandoo feki hawa. Mikwala mingi tu ya kutishia wananchi na kulinda watawala. Makomandoo gani wanashiki kwenye uminyaji demokrasia ili nchi iibuwe raslimali.
 
Aisee hawa makomandoo wetu ni hatari sana!

Hata Navy SEALs hawaoni ndani.

Yaani hawa wa kwetu wangepewa kazi ya kumtafuta Osama baada ya 9/11, ingechukua siku mbili tu kumpata.

Na ndo maana huwezi kuwaona Delta Force, Army Rangers, au Navy SEALs kwenye maonyesho yoyote yale kwa sababu watatia aibu tu ukilinganisha na hawa wa kwetu!

JWTZ ni jeshi hatari sana 🫡.

😉
Tanzania usanii ni mwingi. Hawa wanatumika kutishia raia lakini kiuhasilia hawana lolote. Waswahili hawakukosea waliposema debe tupu haliishi kuvuma.
 
Mbona wale waumoja wa mataifa walioenda Congo na Monusco hatukuona hizo manati. Nahisi huyo jamaa alikuwa nasherehesha tu hizo manati sijui beleshi sidhani kama ni tactical. Kamanda anapaswa kubeba silaha muhimu zitakazo msaidia, sasa fire extinguisher, sufuria, sijui beleshi za nini? Alafu mbona sura ni zile zile za hao makomando au tunao wachache, au hao ni kwa ajili ya sherehe, unaweza kuta ni majamaa ya skauti tu.
Kwani Kongo uliona Makomandoo wangapi?
 
Kwenye uwanja wa vita kuna mambo mengi sana, nilikuwa sijui kwamba Makomandoo huwa wanatumia manati wakiwa kwenye ulingo wa Vita.

ANGALIA HAPA JINSI KOMANDO ALIVYOBEBA MANATI
View attachment 2870543
Hawa ni "makomandoo" Wa maonyesho tu, mavitu mengi kama mganga wa kienyeji!
Nikiwaangalia hawa nakumbuka wanamazingaombwe waliokuwa wanakuja mashuleni miaka ya 90! There is nothing militarily elite force look! Ni kama kabeba matunguri tu,
Hawa wanawaza kunywa bia,mademu,kununua ist, na kujenga kanyumba kamoja,. Wengi wao, academically wapo weak Sana, div 4 za mwisho.
 
Kwani Kongo uliona Makomandoo wangapi?
Sikuwahesabu. Huenda kwakuwa hawakuwa wamebeba sufuria na mnanati. Tutumie picha ya komando wa Monusco aliyeveba fire extinguisher na sufuria
IMG_20240114_073425.jpg
images.jpeg
 
Mbona hawakutuonyesha drones na ishu za electronic warfare, maana vita ya siku hz imebadilika sana, kuna hitajika men on boots but bila drones na jammers hiyo vita itakuwa ngumu sana kwako. Wajifunze kupitia vita ya Ukrain. Hayo malori na vifaru siyo sababu ya wewe kushinda vita, drones electronic warfare ndiyo kila kitu, kuanzia kwenye survaillance mpaka guidance ya mabomu na artillery. Rwanda wanewekeza sana kwenye hilo baada ya kuona amszungukwa na nanchi yenye silaha nzito nzito.
Wenzetu wakituona wanatushangaa. E-war v/s conventional war.
 
Hamna kitu hapo....Afrika hatujawahi kuwa serious.Nikiwaangalia na hiyo mizigo mpaka huruma...Vita vya sasa watu wanatumia akili zaidi ...kidrone kimoja kinachoongozwa na jamaa mwenye kitambi huku anashushia bia...kinasambaratisha hiyo mizigo na masufuria yote....
Anyway wanajiandaa kufanya usafi tarehe 24/Jan.. siku chadema wanapanga kufanya maandamano
 
Rwanda amejikita huko. Then iwish tunazo air defence systems maana, Urusi leo hii anapona kutokana kwenye hizo Tomhawks za mmarekani kutokana na kuwa na mfumo mzuri wa kujilinda pamoja na mfumo mzuri wa electronic warfare. Otherwise Urusi ingekuwa imeshafutika.
We ni mweupe kabsa kichwani
 
Hawa ni ni makomandoo feki hawa. Mikwala mingi tu ya kutishia wananchi na kulinda watawala. Makomandoo gani wanashiki kwenye uminyaji demokrasia ili nchi iibuwe raslimali.
Lakini mkubwa tuwe wawazi tu unaweza mtumia highly trained commando kwenda katika ishu hizo tena kwa raia aliyeapa kumlinda? Yani askari aliyefuzu kuvaa maroon beret na mwenye Silver wings kifuani kushoto (full package)..

Achana na wanasiasa.
 
Lakini mkubwa tuwe wawazi tu unaweza mtumia highly trained commando kwenda katika ishu hizo tena kwa raia aliyeapa kumlinda? Yani askari aliyefuzu kuvaa maroon beret na mwenye Silver wings kifuani kushoto (full package)..

Achana na wanasiasa.
So unataka kutuambia hao siyi real comando, ni wa manyesho?
 
Vita ni taaluma pana vilevile, unapozungumzia issue ya SF ina vitu vingi mno, kuna moja ya zoezi la ku handle kukamata nyoka wakali especially anatumika sana cobra na kumuua na kunywa damu yake ukiachana na mapigano tu kuna namna ya kuishi na msitu (jungle survival) kwahiyo in reality kuna mengi achana na sinema.
Dah mpaka leo tunadaka nyoka kwahyo kwenye vita kuna nyoka au damu yake inamsaada gani mbona hayo mambo wanafanya wahadzabe kwahyo nao ni makomando?
 
Dah mpaka leo tunadaka nyoka kwahyo kwenye vita kuna nyoka au damu yake inamsaada gani mbona hayo mambo wanafanya wahadzabe kwahyo nao ni makomando?
Hiyo ni joint exercise iliyofanyika kati ya green berets wa US army na SF ya Thailand miaka hii tu hivi karibuni.
Narudia tena vita si muda wote mapigano hicho unachokiona kina maana yake. Sasa sijui nao wahazbe?
 

Attachments

  • NINTCHDBPICT000567409735.jpg
    NINTCHDBPICT000567409735.jpg
    148.8 KB · Views: 3
Jeshi letu libadilike kwenye maonyesho waonyeshe technology mpya kwenye vita kama tunavyoona Ukraine wakitengeneza drone huku wakiwa vitani sio kutembea na mamizigo makubwa ambayo ukiwa kwenye misheni hauwezi kuyabeba yote hayo...Komandoo kijiko cha chai kwake ni siraha nzuri tu tutoke huko zama za mawe na ujima...
 
Back
Top Bottom