Watu mna kamba. Eti unakunywa sumu ya cobra. Haya mambo ya kutazama movie na ndio yale yale ya eti commando ngumi inapasua zege. Unywe sumu ya cobra ubaki hai?Vita ni taaluma pana vilevile, unapozungumzia issue ya SF ina vitu vingi mno, kuna moja ya zoezi la ku handle kukamata nyoka wakali especially anatumika sana cobra na kumuua na kunywa damu yake ukiachana na mapigano tu kuna namna ya kuishi na msitu (jungle survival) kwahiyo in reality kuna mengi achana na sinema.
ila wabongo jman kwan uliona vifaru makombora pale? au mig ungeonyeshwa ivyo pia ungesm mbona atujaona manualy yn alwyz mbongo anatafta weaknes ndio acoment hapo...2kirud na mada manat yanatumika comando kila ktu ni sirah km ushawah kuon movie ya zman ya frank zagarino inaitwa strike alikua na manat anarushia golol zenye milipkoMbona hawakutuonyesha drones na ishu za electronic warfare, maana vita ya siku hz imebadilika sana, kuna hitajika men on boots but bila drones na jammers hiyo vita itakuwa ngumu sana kwako. Wajifunze kupitia vita ya Ukrain.
Hayo malori na vifaru siyo sababu ya wewe kushinda vita, drones electronic warfare ndiyo kila kitu, kuanzia kwenye survaillance mpaka guidance ya mabomu na artillery. Rwanda wanewekeza sana kwenye hilo baada ya kuona amszungukwa na nanchi yenye silaha nzito nzito.
ni morden warfare ndio yametmika kwa tecnology ya mrus mmalekan uingerez izo zama washapta ila si kwetu bdo zpoMbona makomandoo wa Urusi, Ukraine, Israel ambao wapo kwenye real battle hatuoni wakiwa wamebeba manati
Sawaila wabongo jman kwan uliona vifaru makombora pale? au mig ungeonyeshwa ivyo pia ungesm mbona atujaona manualy yn alwyz mbongo anatafta weaknes ndio acoment hapo...2kirud na mada manat yanatumika comando kila ktu ni sirah km ushawah kuon movie ya zman ya frank zagarino inaitwa strike alikua na manat anarushia golol zenye milipko
...Tuombe Vita vya 'Kirafiki' na Waasi Congo, tujue Panapovuja !!! [emoji846][emoji846]Mbona hawakutuonyesha drones na ishu za electronic warfare, maana vita ya siku hz imebadilika sana, kuna hitajika men on boots but bila drones na jammers hiyo vita itakuwa ngumu sana kwako. Wajifunze kupitia vita ya Ukrain.
Hayo malori na vifaru siyo sababu ya wewe kushinda vita, drones electronic warfare ndiyo kila kitu, kuanzia kwenye survaillance mpaka guidance ya mabomu na artillery. Rwanda wanewekeza sana kwenye hilo baada ya kuona amszungukwa na nanchi yenye silaha nzito nzito.
Sawa ni kamba ila laiti ungejuaWatu mna kamba. Eti unakunywa sumu ya cobra. Haya mambo ya kutazama movie na ndio yale yale ya eti commando ngumi inapasua zege. Unywe sumu ya cobra ubaki hai?
Siwezi kubishana na wewe uliyefanya hiyo kozi.Hakuna lolote unalojua hapo,vita gani na manati