Komando na Manati

Komando na Manati

Naona onyesho lilikuwa zuri hadi watu wameiba video yetu.
 
Vita ni taaluma pana vilevile, unapozungumzia issue ya SF ina vitu vingi mno, kuna moja ya zoezi la ku handle kukamata nyoka wakali especially anatumika sana cobra na kumuua na kunywa damu yake ukiachana na mapigano tu kuna namna ya kuishi na msitu (jungle survival) kwahiyo in reality kuna mengi achana na sinema.
Watu mna kamba. Eti unakunywa sumu ya cobra. Haya mambo ya kutazama movie na ndio yale yale ya eti commando ngumi inapasua zege. Unywe sumu ya cobra ubaki hai?
 
Mbona hawakutuonyesha drones na ishu za electronic warfare, maana vita ya siku hz imebadilika sana, kuna hitajika men on boots but bila drones na jammers hiyo vita itakuwa ngumu sana kwako. Wajifunze kupitia vita ya Ukrain.

Hayo malori na vifaru siyo sababu ya wewe kushinda vita, drones electronic warfare ndiyo kila kitu, kuanzia kwenye survaillance mpaka guidance ya mabomu na artillery. Rwanda wanewekeza sana kwenye hilo baada ya kuona amszungukwa na nanchi yenye silaha nzito nzito.
ila wabongo jman kwan uliona vifaru makombora pale? au mig ungeonyeshwa ivyo pia ungesm mbona atujaona manualy yn alwyz mbongo anatafta weaknes ndio acoment hapo...2kirud na mada manat yanatumika comando kila ktu ni sirah km ushawah kuon movie ya zman ya frank zagarino inaitwa strike alikua na manat anarushia golol zenye milipko
 
ila wabongo jman kwan uliona vifaru makombora pale? au mig ungeonyeshwa ivyo pia ungesm mbona atujaona manualy yn alwyz mbongo anatafta weaknes ndio acoment hapo...2kirud na mada manat yanatumika comando kila ktu ni sirah km ushawah kuon movie ya zman ya frank zagarino inaitwa strike alikua na manat anarushia golol zenye milipko
Sawa
 
Haya maonesho yetu hasa ya kimedani yanaelekea kukosa mvuto kama ubunifu na mbinu mpya za kimedani hazitakuwepo.
Kila mwaka tunashuhudia kuvunja tofali, mbao na kushuka na kamba kutoka kwenye helkopita.

Dunia inaenda kasi sana, tuwekeze kwenye elimu na vijana . vita ya kubeba makolokolo kama punda ishapitwa na wakati.
Vita ya siku hizi inapiganwa na watu wakiwa ofisini.
Drones
Stealth war planes
ICBM
Interceptors
Radar.
Sipendi namna wanasiasa wanavyolichukulia JWTZ.
 
Mbona hawakutuonyesha drones na ishu za electronic warfare, maana vita ya siku hz imebadilika sana, kuna hitajika men on boots but bila drones na jammers hiyo vita itakuwa ngumu sana kwako. Wajifunze kupitia vita ya Ukrain.

Hayo malori na vifaru siyo sababu ya wewe kushinda vita, drones electronic warfare ndiyo kila kitu, kuanzia kwenye survaillance mpaka guidance ya mabomu na artillery. Rwanda wanewekeza sana kwenye hilo baada ya kuona amszungukwa na nanchi yenye silaha nzito nzito.
...Tuombe Vita vya 'Kirafiki' na Waasi Congo, tujue Panapovuja !!! [emoji846][emoji846]

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Watu mna kamba. Eti unakunywa sumu ya cobra. Haya mambo ya kutazama movie na ndio yale yale ya eti commando ngumi inapasua zege. Unywe sumu ya cobra ubaki hai?
Sawa ni kamba ila laiti ungejua
 

Attachments

  • NINTCHDBPICT000567409735.jpg
    NINTCHDBPICT000567409735.jpg
    148.8 KB · Views: 3
Back
Top Bottom