Kombe jipya la NBC Premier League hili hapa dondosha maoni yako

Kombe jipya la NBC Premier League hili hapa dondosha maoni yako

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
Hili kombe Zuri tofauti na lile la mwaka jana

20230607_133140.jpg
 
At least hili lina muonekano bomba sio kama ile Mashine ya kusagia unga waliyotoa mwaka jana.

Hapa sasa tunaweza kupata mzuka wa kuwa Bingwa
Hili waanze kulitoa mwakani.
 
Makolo hawataki kusikia habari kama hizi. Faraja ndogo waliyonayo saiz ni Mayele asiwe mfungaji bora
 
Back
Top Bottom