Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

bravo kili stars!!!! lakini sasa mbona tena njii moja timu 2
Usielete mengine, hii ni advantage kwetu. By the way, TFF na ZFA wote ni wanachama sawa katika CECAFA
 
????????????????????????????????????????????????????
 
Hivi tukiingia wanandugu fainali itakuwaje?


Itakua poa sana,nilipata bahati kuona wachezaji wa Z'bar wakiondoka yule Beki wetu alikua akihojiwa alisema atapenda kukutana na stars kwani wachezaji anawajua na mechi inaweza kuanzuri na kipimo kizuri kwa makocha wetu.Yaani bora kua na Mzarendo kama Zbar au kuendelea na Maximo
 
Itakua poa sana,nilipata bahati kuona wachezaji wa Z'bar wakiondoka yule Beki wetu alikua akihojiwa alisema atapenda kukutana na stars kwani wachezaji anawajua na mechi inaweza kuanzuri na kipimo kizuri kwa makocha wetu.Yaani bora kua na Mzalendo kama Zbar au kuendelea na Maximo

Nimekusoma yule beki wetu!
 
Usielete mengine, hii ni advantage kwetu. By the way, TFF na ZFA wote ni wanachama sawa katika CECAFA

yapi kuuliza nchi 1 timu mbili?....i have no political interest nor will I ever have.
 
Dah hapo sasa mm nawahofia sana Zenji maana kila kukicha wanaimarika walimsimamisha Uganda.
Hacha hofu, ONE LOVE when brothers meet!
'Tunaweza kuamua hamna kufungana hata kama ni kwa penati, CECAFA watupe kombe letu tuondoke.'
 
Historia inawahukumu,na hawajawa wazuri hivyo kuwazidi wenzao wa stars

Hawa jamaa kila kukicha wanazidi kuimarika wanakuwa wazuri sana. Natabiri wanaibuka kidedea maana tuna mashine mbili kule duh Abdi Kasimu babi na Canavaro lol
 
Back
Top Bottom