Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

Unajua wengi tuna mlaumu maximo bure swali langu ni kwamba wachezaji wetu wanajuaaaa..... hata akija kocha wa liverpool hawabadiliki milele
au
 
Tumeinyuka Eritrea 4-0.
Najiuliza tukiingia fainali na Zanzibar Heroes itakuwaje?
 
Unajua wengi tuna mlaumu maximo bure swali langu ni kwamba wachezaji wetu wanajuaaaa..... hata akija kocha wa liverpool hawabadiliki milele
au

Kwanza kabisa nawapongeza Kili stars kwa kupata ushindi na kumuondolea presha movies star wetu Maximo!!!

Ila wewe shombe mchokozi, yaani umeona liverpool ndio ya kutolea mfano sio?? sababu??

Hongera stars, uzalendo kwanz; Maximo badae
 
Sasa huyu Ngassa kama mnapigia sifa mbona mpaka leo hajafanikiwa soka la kulipwa...

Nadir kasjindwa Cnada, Ngassa kachemsha West Ham...

Mnyama kapeleka ngapi...Henry Joseph, Haruna Moshi..mpo Knada mbili...
Huyo Bengo mbona hata benchi yanga hana namba...acheni mambo ambayo hayana mwanzo wala mwisho...

Mwaka huu ujanja umekwisha hela hakuna kuhonga timu na marefa mnawatupia lawama friends of Simba...

Kubalini YeboYebo hakuna kitu mwaka huu mnajifariji tu...Eriteria kwani Timu...Hata timu yetu za mchangani wangeibuku na ushindi..ngojeni kichapo nusu fainali....
 
Sasa huyu Ngassa kama mnapigia sifa mbona mpaka leo hajafanikiwa soka la kulipwa...

Nadir kasjindwa Cnada, Ngassa kachemsha West Ham...

Mnyama kapeleka ngapi...Henry Joseph, Haruna Moshi..mpo Knada mbili...
Huyo Bengo mbona hata benchi yanga hana namba...acheni mambo ambayo hayana mwanzo wala mwisho...

Mwaka huu ujanja umekwisha hela hakuna kuhonga timu na marefa mnawatupia lawama friends of Simba...

Kubalini YeboYebo hakuna kitu mwaka huu mnajifariji tu...Eriteria kwani Timu...Hata timu yetu za mchangani wangeibuku na ushindi..ngojeni kichapo nusu fainali....

Nakujua mazee wewe ni friends of Simba! Mnanunua marefarii.....mnahonga wachezaji pinzani janja yenu twajua....simba haina mchango kwenye stars....
 
Huofii watoto wa M7 waliotudunda mechi ya kwanza bado wapo

Nimeambiwa Zenji watakutana na watoto wa M7 naamini hawa watoto wa ukweni watatolewa tu na watoto wa kizenji.
 
Sasa huyu Ngassa kama mnapigia sifa mbona mpaka leo hajafanikiwa soka la kulipwa...

Nadir kasjindwa Cnada, Ngassa kachemsha West Ham...

Mnyama kapeleka ngapi...Henry Joseph, Haruna Moshi..mpo Knada mbili...
Huyo Bengo mbona hata benchi yanga hana namba...acheni mambo ambayo hayana mwanzo wala mwisho...

Mwaka huu ujanja umekwisha hela hakuna kuhonga timu na marefa mnawatupia lawama friends of Simba...

Kubalini YeboYebo hakuna kitu mwaka huu mnajifariji tu...Eriteria kwani Timu...Hata timu yetu za mchangani wangeibuku na ushindi..ngojeni kichapo nusu fainali....


Unatapata
 
Sasa huyu Ngassa kama mnapigia sifa mbona mpaka leo hajafanikiwa soka la kulipwa...

Nadir kasjindwa Cnada, Ngassa kachemsha West Ham...

Mnyama kapeleka ngapi...Henry Joseph, Haruna Moshi..mpo Knada mbili...
Huyo Bengo mbona hata benchi yanga hana namba...acheni mambo ambayo hayana mwanzo wala mwisho...

Mwaka huu ujanja umekwisha hela hakuna kuhonga timu na marefa mnawatupia lawama friends of Simba...

Kubalini YeboYebo hakuna kitu mwaka huu mnajifariji tu...Eriteria kwani Timu...Hata timu yetu za mchangani wangeibuku na ushindi..ngojeni kichapo nusu fainali....

Utakuwa Mkenya wewe,tena wa Mombasa...lol!!!
 
Tumeinyuka Eritrea 4-0.
Najiuliza tukiingia fainali na Zanzibar Heroes itakuwaje?

bravo kili stars!!!! lakini sasa mbona tena njii moja timu 2
 
Nakujua mazee wewe ni friends of Simba! Mnanunua marefarii.....mnahonga wachezaji pinzani janja yenu twajua....simba haina mchango kwenye stars....

Tangu yeboyebo mkose cha kushangalia klabuni, basi mnataka staz iitwe yeboyebo!
 
So interesting kupata ushindi huu. Angalau inatia moyo. Tumechoka kuchapwa kila kukicha. Kuboresha uchumi wa nchi tumeshindwa, kuboresha hali ya maisha ya watanzania tumeshindwa, na kucheza mpira jamani. So happy of this, though not enough as per our expectation. Tunataka tuchukue kombe!
 
Back
Top Bottom