Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Yanga oyeeeeeeeeeeeeee!
Yaani toka Lager waende huko kuanzia Mumas ni Ngasa tu ndo anaye tupa fraha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga oyeeeeeeeeeeeeee!
Duh,wewe kweli mnazi
Ficha kwanza fulana yako ya njano, tuzungumzie utaifa kwanza
kati ya Zimbabwe na RwandaHongera Maximo!
Haya sasa tumetinga nusu fainali; Je tutapita? Tunakutana na nani?
Stars 4 Mrisho Ngasa Eritrea 0
Stars 4 Mrisho Ngasa Eritrea 0
Nyie Simba mmetoa mchango gani kwenye timu ya Taifa? huyu Mgosi wenu kafanya nn?
bado ila dakika za mwishoni goli la nne kipa amepigwaa kanzu na Mrisho NgasaMpira umekwisha au?
Nyie Simba mmetoa mchango gani kwenye timu ya Taifa? huyu Mgosi wenu kafanya nn?
summary kaka; wafungaji, kocha ni nani, uwanja gani, muda, washangiliaji n.k
Wewe mi Yanga tangia enzi, lakini hapa kipaumbele utaifa
Ngasa, Ngasa, Ngasa, Ngasa, Ngasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!bado ila dakika za mwishoni goli la nne kipa amepigwaa kanzu na Mrisho Ngasa
Wewe mi Yanga tangia enzi, lakini hapa kipaumbele utaifa
Wewe mi Yanga tangia enzi, lakini hapa kipaumbele utaifa
Huoni ninavyorukaruka hapa? Hofu yangu akina mnyama wasije kususa kushangilia ushindiWewe yanga bomba nini mbona hushangilii?
Jamaa wamepata la kufutia machozi kwa hiyo Stars 4 Eritrea 1
Akiyanani wewe ni Babu kubwa!Hata Yanga ni utaifa, ingawa ni utaifa zaidi ya Simba.....siumeona utaifa wa Yanga mpaka mfungaji kawa wa Yanga....Tehee...Yanga oyeee,,,,,,samahani,,,,kilimanjaro oyeeee...hata Zenji oyeeeeeeee..