Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

Wape donge hawa Makandambili....walilala na ghafla wameamka leo...Tusubiri mechi ijayo....Suala ya Mgosi, si ndio mbabe wenu kuwatungua....shangilieni tuu na ndio mtakuwa wa kwanza kumtupia lawama maximo akichemsha semi-final...hii ndiyo taabu ya usabiki kwenye mtantau....

Hongera Kili Stars kwa ushindi mnono na hatimaye kuingia Nusu Fainali..Pia hongera Mrisho Ngasa kwa kufunga Hat trick na kujijengea mazingira mazuri ya kuwa mfungaji bora wa mashindano(magoli matano si mchezo)
 
Masanilo pls utaifa kwanza, mambo ya uyanga na usimba ni hayafai wakati timu ya Taifa ikiwa inacheza.
 
nyiinyi mnahangaika nini kuuliza matokei wakayi radio maria ilikuwa inatangaza
 
halafu utapigwa wimbo gani wa Taifa!

...Mkuu, Uko Nji Gani? Hujui kwamba Zenji wana wimbo wao wa Taifa na majuzi hata Baraza lao la Wawakilishi walikuwa wanaufanyia mazoezi? Huna Khabari?? Watakucheka Watu?!!?🙂🙂
 
Rwanda kamtandika Zimbabwe goli 4 kwa 1, kwa hiyo ni Kili vs Rwanda nusu fainali.
 
Nusu fainali ni kati ya Kili na Rwanda. Kwani mpira kati ya Rwanda na Zimbabwe umemalizika na Rwanda wamefaulu kuingia nusu fainali.
 
Naanza kupata mashaka kama kuna Great Thinkers humu..
 
Siyo Mmoroco ni Mcomoro hata hivyo ni mzalendo huyo kwani wazenji ni Wacomoro waliolowea

teehetehe kwikwikwi
hivi ni wacomoro wale waliofungwa na Yanga goli 8? vikasababisha magoli mengine yasionyeshwe kwani vibao vya kuonyesha magoli pale taifa viliisha
kwikwikwi
 
Siyo Mmoroco ni Mcomoro hata hivyo ni mzalendo huyo kwani wazenji ni Wacomoro waliolowea

Du hii kali, jamani kocha wa Zanzibar ni mbongo anaitwa Hemed Morroco, mchezaji wa zamani wa Coastal Union ya Tanga, Wagosi wa Kaya, siyo Mcommoro!
 
This is very interesting,....
1. Zanzibar akishinda dhidi ya Uganda, na Kili Stars akishinda dhidi ya Rwanda..ni Kili vs Zanzibar fainali
2. Zanzibar akipoteza na Stars akishinda, we have 1 Team from TZ in the final
3.Kili akipoteza na Rwanda akishinda, we have 1 Team from TZ in the final
4. Kili na Zanzibar wakipoteza wote katika semis wanakutana kutafuta mshindi wa Tatu !

I hope the for the first option
 
This is very interesting,....
1. Zanzibar akishinda dhidi ya Uganda, na Kili Stars akishinda dhidi ya Rwanda..ni Kili vs Zanzibar fainali
2. Zanzibar akipoteza na Stars akishinda, we have 1 Team from TZ in the final
3.Kili akipoteza na Rwanda akishinda, we have 1 Team from TZ in the final
4. Kili na Zanzibar wakipoteza wote katika semis wanakutana kutafuta mshindi wa Tatu !

I hope the for the first option

iramusm,
Rekebisha kidogo namba 3!!
Nadhani mwaka huu hatutarudi nyumbani mikono mitupu!
 
Back
Top Bottom