Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiisha , ccm zenji watapambana na ccm bara kutafta mshindi wa tatu

I said this watu ooohh mimi Mzenj!

Kwani kule visiwani CUF hawana mchezaji national team?
 
goli lakizembe la kwanza ndio limetuangusha kanikumbusha kipindi cha leahman msimu wa mwisho mipira ilikuwa ina mponyoka kama vile.

teeeeh kaka umerudi kulekule...hahaaa UK timu yako Arsenal,TZ stars plus Azam..BP lazima kaka
 
Huyo golikipa ***** yaani hilo goli la kwanza hata ningekuwa mimi ningeokoa
 
Sio lazima tuone kila kitu sawa;
i saw positivity especially after losing one man... i saw the whoel 90 minutes and i saw what rwanda provided!!!

To me it was a good game!!!

Na mimi ngoja nitoe tathmini yangu.

Mi nimeona butuabutua tu. I wonder Maximo analipwa mamilioni for more than 4 years now, kuwafundisha vijana butuabutua tuuuuu!

Nasikitika kwamba tunaweza kukaa chini na kujivunia timu chovu kama hii. Yaibu!
 
Mie amenishangaza kocha wa rwanda kumtukana maximo sijui nimie nimeona au nimesikia vibaya amesema fucken game (i quote). Uko wapi mchezo wa kistaarabu!!!
 
Maximo hana tofauti na Arse Wenger! Miaka 4 trophy less....anakula pesa yetu ya kodi!
 
Nimechukia mpaka nikaamua kucheka maana humu watu wamepinda kabisa
 
Na mimi ngoja nitoe tathmini yangu.

Mi nimeona butuabutua tu. I wonder Maximo analipwa mamilioni for more than 4 years now, kuwafundisha vijana butuabutua tuuuuu!

Nasikitika kwamba tunaweza kukaa chini na kujivunia timu chovu kama hii. Yaibu!

I was about to post statement kama hii, sijaona football yoyote ya maana
ambayo huyu maximo amefundisha for all this time.

Baada ya kufungwa badala ya kutulia basi ni butua butua tu, kila mtu anapiga
mpira mbele..... lakini huko mbele nani yupo? hakuna.

naamini kama wangetulia labda wangetoa droo...yani sijui walikuwa wanatumia
mfumo gani...... Am fed up...
 
Na mimi ngoja nitoe tathmini yangu.

Mi nimeona butuabutua tu. I wonder Maximo analipwa mamilioni for more than 4 years now, kuwafundisha vijana butuabutua tuuuuu!

Nasikitika kwamba tunaweza kukaa chini na kujivunia timu chovu kama hii. Yaibu!

Duh, mkuu kwa hapo hata mimi nabadili mawazo, sikuangalia kwa upande huo

ni kweli wachezaji wetu walikosa nidhamu na game plan... duh!!! Ukweli unauma
 
dah! haikuwa bahati yetu kwa mara nyingine tena.

tumekosa ubingwa,lakini Kabla ya kuanza kumshambulia maximo inabidi tutathimini kuwa amefanya nini mpaka sasa na timu imechezaje mbali na kukosa ubingwa.
....binafsi hicho kikosi cha kili stars sijakiona na hata sina idea nacho,inawezekana timu yetu ikawa nzuri hasa ukizingatia kuwa si lazima kila timu bora iwe bingwa.
swali la msingi ni kwa mara ya ngapi tunaukosa ubingwa,hicho ndo kigezo watz watashindwa kuvumilia.
 
Nadhani ni wasaa wa Maximo kuoneshwa mlango wa kutokea. HANA JIPYA, AKWENDE ZAKE!

Hivi mliongalia mpira mnaweza kusema timu kweli inafundishwa na Mbrazil? Trust me we doomed with our foolishness.
 
Its time huyo maximo awekwe kiti moto na ajieleze ukweli bwana....tumechoka na sababu anazotoa..haana first 11 for 4 years...nimeangalia second half nikiwa ofisini pamoja na wafanyakazi wenzangu ambao ni waingereza na wao wampigwa butwaa na mpira tunaocheza yaani butua butua...

I think he needs to resign and tell us that he no longer has the cabability to take us further...kashachuma mamilioni na anatufanya sis wajinga...wachezaji wanyao kipaji ila maximo anapangua timu all the time
 
Back
Top Bottom