Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo pamoja,ni zamu yetu sasa kurudisha ufalme wetu.Fanyeni mnavyo fanya ,pangeni cjui makundi ingieni mtoano lakini ninawambieni mwisho wasiku Brazil ndo bingwa wa kombe la dunia nimemaliza ...... kama una swali uliza
How???Fanyeni mnavyo fanya ,pangeni cjui makundi ingieni mtoano lakini ninawambieni mwisho wasiku Brazil ndo bingwa wa kombe la dunia nimemaliza ...... kama una swali uliza
Uruguay na ghana je yataweza kujirudia yale ya 2010?
Huu mwaka wanachukua hakuna wa kuwazia labda FranceBrazil itamchukua miaka zaidi ya 30 kuja kubeba World Cup tena
Morocco
Hali yao ni mbaya sana kwa kweli hadi huruma!
1998 ilichangamka sanaHiii World Cup itaboa.
naona watu wengi wana imani na Senegal
Lini waarabu wako waliwahi kufanya vizuri?😀Naombea Ghana apigwe nyingi, Suarez mnyama watamkoma kwa mara nyingine 😃
Hahaaaa Ghana ni waarabu kumbe!Lini waarabu wako waliwahi kufanya vizuri?😀
Algeria si walifurumushwa?Hahaaaa Ghana ni waarabu kumbe!
Kwa Afrika timu zangu ni mbili tu kamanda, Algeria na Morocco plus Argentina 😃
karibu sana!
Algeria si walifurumushwa?
Waarabu this time hakuna kitu wamefanya
Ni lini hiyo Morocco amewahi kufanya vizuri mashindano ya kimataifa?? Rejea AFCON na WORLD CUP.Senegal mapema anatolewa, labda Morocco ndie atafanya vizuri....wengine wanaaga mapema
Mkuu tuombe mudaFanyeni mnavyo fanya ,pangeni cjui makundi ingieni mtoano lakini ninawambieni mwisho wasiku Brazil ndo bingwa wa kombe la dunia nimemaliza ...... kama una swali uliza
Hapo mpaka political issues zitaingia