Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Sasa unafuata burudani ya Mpira ama burudani ya Kubanduliwa?
Ni vyema ukiwa Nchi za watu kuheshimu sheria za sehemu husika.
TOZO kuzingatiwaWaarabu walivyo mafala utasikia huingii na demu chumbani hadi muoneshe vyeti vya ndoa
Duh, niliona fifa wametangaza kuwa hiteli yoyote itakayo wabugudhi wapenzi wa jinsia moja itafungiwa/ itaondolewa kwenye hoteli rasmi za wageni wa fifa
Duh, niliona fifa wametangaza kuwa hiteli yoyote itakayo wabugudhi wapenzi wa jinsia moja itafungiwa/ itaondolewa kwenye hoteli rasmi za wageni wa fifa
OkyHomosekshwaliti
Tena nashetani wekunduMpira ni mchezo wa kishetani tu
Huwajui hao vitukuu walivyo wa ajabu ukiwa kwaoSheria zimelegezwa Kwa wanywa pombe ..hizo sheria mainly Kwa wananchi wao...wageni hawatashitakiwa hata wakivunja hizo sheria
wataburudika na vingi🤔Mpira burudani sio mambo ya hijja hayo. Next time FIFA wasiwape jamaa design hii ku-host World Cup tena. Bora hata wapeleke Eswatini/Swaziland watu wataburudika na vingi
World cupSasa hiyo ni world cup ah hijja ya mazazi ya mtume
Naona wazee wa north amerika washawahi 😬Next host awe Eswatini
Sasa katibya Mzungunna Mwarabu Nani mpenda puru?Hiyo namba 2 nawaunga mkono kwa zaidi ya asilimia 100. Wazungu wanataka kuufanya mchezo wa mpira kuputisha ajenda zao za kishetani waarabu wakaze hapo hapo wasilegeze
Haswaa...Hao Qatar wangeandaa kombe Lao la dini ndo waweke hayo masharti ya kuvaa kanzu na kobazi
KaHiyo namba 2 nawaunga mkono kwa zaidi ya asilimia 100. Wazungu wanataka kuufanya mchezo wa mpira kuputisha ajenda zao za kishetani waarabu wakaze hapo hapo wasilegeze
Nahisi hata walihonga kupata hiyo nafasiHaswaa...
Kombe la Dunia wao wanataka kuleta habari za Hamadi
Mkuu nikikuuliza jibu la swali lako utanijibu kwa kutumia research gani? Kwa sababu tayari nishajua unachotaka kusemaSasa katibya Mzungunna Mwarabu Nani mpenda puru?
Culturally sensivitySasa unafuata burudani ya Mpira ama burudani ya Kubanduliwa?
Ni vyema ukiwa Nchi za watu kuheshimu sheria za sehemu husika.