Kombe la Dunia 2022: Tunavikosa sana vionjo tulivyovizoea kwenye mitanange ya Kombe la Dunia

Kombe la Dunia 2022: Tunavikosa sana vionjo tulivyovizoea kwenye mitanange ya Kombe la Dunia

Na hatuwezi kuja kuviona Kwa sababu siku hizi wachezaji hawachezi kuonesha vipaji vyao bali wanaucheza mfumo wa kocha

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
Ni kweli hatuwezi kuja kuviona tena kwa sababu Lengo kuu la mpira limebadilika sana!! Mpira umekuwa biashara zaidi kuliko burudani!! Hata nchi za Amerika ya kusini ambapo mcheza soka alikuwa anajihesabu kama anacheza ngoma na lengo kuu likiwa kuonesha kipaji na kuburudisha watazamaji, siku hizi wameiga soka la ulaya la kasi na pasi ili mradi goli lipatikane!
 
Mpira huo wa individual skills umeshapitwa na wakati hakuna kocha anayetaka wachezaji kama hao mpira wa sasa ni wa kwenye kitabu.
 
Back
Top Bottom