2002au 2002?
20022022 Ronaldinho alikuwa ameshastaafu soka wewe.
Ni kweli hatuwezi kuja kuviona tena kwa sababu Lengo kuu la mpira limebadilika sana!! Mpira umekuwa biashara zaidi kuliko burudani!! Hata nchi za Amerika ya kusini ambapo mcheza soka alikuwa anajihesabu kama anacheza ngoma na lengo kuu likiwa kuonesha kipaji na kuburudisha watazamaji, siku hizi wameiga soka la ulaya la kasi na pasi ili mradi goli lipatikane!Na hatuwezi kuja kuviona Kwa sababu siku hizi wachezaji hawachezi kuonesha vipaji vyao bali wanaucheza mfumo wa kocha
Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
.Ukishamtaja babe wangu Ronaldinho gaucho ushanivuruga akili. Nilianza kuangalia mpira 2002 nikiwa mdogo madaftari yangu ya secondari yamechorwa picha za Ronaldinho bae
Kumbe tupo na wajukuu humuUkishamtaja babe wangu Ronaldinho gaucho ushanivuruga akili. Nilianza kuangalia mpira 2002 nikiwa mdogo madaftari yangu ya secondari yamechorwa picha za Ronaldinho bae
Wakati wenzie wakilalamika mipira ya Jabulani ni myepesi yeye alitumia wepesi huo huo kuwatungua Makipa.Ongeza na Mzee wa mashuti Diego forani wa Uruguay 2010