kubaki sio tatizo... kama waliobaki... amesahau wachezaji wa banley palace leistercity etc... wapo wamebaki lakini... haja wa acknowledge"Who are still"...
Ingawa pia kamsahau shaba ranks!
Wamezifikisha nchi zao nusu final hadi finalHakuna klabu inayoshiriki kombe la dunia. Hivyo basi, kama una akili timamu huwezi kuipima ligi kwa kuangalia performance ya wachezaji kwenye kombe la dunia.
Ligi inapimwa kwa kuangalia klabu zake zinafanya nini zinapokutana na klabu za ligi nyingine. Hapa ndipo UEFA na EUROPA zinapochukua nafasi.
Sasa wachezaji kama hawawezi kusaidia timu zao za taifa utasema wana msaada sasaMleta mada,mpira umeanza kuufuatilia kuanzia kwenye hili kombe la wc linalochezewa Russia? ubora wa ligi haupimwi kwenye team za taifa bali kwenye club kwa kukutanisha club za nchi mbalimbali hasa kwenye mashindano ya UEFA na EUROPA.
Habari mkuu!Croatia hapiti amin usiamin,anapita russia
Yaan wameona tu lukaku, hazard, kante basi kelele nyingiKama kawaida, wazee wa EPL mmekutana kujifariji.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acheni longo longo, kipimo cha ligi bora ni michuano ya UEFA. Siku mkidominate UEFA na EUROPA tutakubali mnayo ligi bora.
Tofauti na hapo, mtaendelea kutafuta vichochoro vya kujificha kama hivi!
Mtapata tabu sana, kila mkikutana na team za spain mnakula kipigo cha mbwa koko!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyo france mwenyewe Ana nyota wa EPL ambao ni roho ya team ngolo kante, paul pogba, Olivia GiroudKwahyo 2014, 2010, 2006,...ligue ya England haikuwa bora sio!?
Bora tu Croatia au France wachukue kombe kutuepusha na mikelele ya wafia Epl
hata hayo mashindano ya mtoano UEFA/EUROPA hayapimi ubora wa ligi,kwa mfano madrid na spurs ipi timu!?,barcelona na roma ipi timu bora,liver kafika fainali barcelona hakufika,hapo utasemaje la liga ni bora kisa madrid kachukua kombe lakin atletico alitoka makundi!?Mleta mada,mpira umeanza kuufuatilia kuanzia kwenye hili kombe la wc linalochezewa Russia? ubora wa ligi haupimwi kwenye team za taifa bali kwenye club kwa kukutanisha club za nchi mbalimbali hasa kwenye mashindano ya UEFA na EUROPA.
UEFA hivi karibuni limeenda SPAIN kwa mara ya 3 mfululizo,hii ina maanisha nini kwako? Hayo mashindano hatupimi ubora wa ligi kwa kuhesabu mechi moja moja.hata hayo mashindano ya mtoano UEFA/EUROPA hayapimi ubora wa ligi,kwa mfano madrid na spurs ipi timu!?,barcelona na roma ipi timu bora,liver kafika fainali barcelona hakufika,hapo utasemaje la liga ni bora kisa madrid kachukua kombe lakin atletico alitoka makundi!?
mechi moja!!?..hivi hakupigwa nje ndani!?..liverpool angeshinda angechukua ubingwa..ni mechi moja pia,lakini atletico na barcelona wametolewa mapema tu,hapo kama ni ubora anao madrid tu na si la ligaUEFA hivi karibuni limeenda SPAIN kwa mara ya 3 mfululizo,hii ina maanisha nini kwako? Hayo mashindano hatupimi ubora wa ligi kwa kuhesabu mechi moja moja.
mpira umekupita kando aisemechi moja!!?..hivi hakupigwa nje ndani!?..liverpool angeshinda angechukua ubingwa..ni mechi moja pia,lakini atletico na barcelona wametolewa mapema tu,hapo kama ni ubora anao madrid tu na si la liga
Akili za kitoto hizi kuamini uefa ndio inatoa au inaeleza league bora ni ipi haya ni makombe madogo mno kulinganisha na kombe la duniahuwezi kutumia hilo kama kigezo cha kujua ubora wa league.. kipimo cha league huangalia uwezo wa team shiriki kwenye league husika kwenye mashindano ya kimataifa kama CAF.. UEFA n.k.
kumbuka team ya taifa ni mchanganyiko wa wachezaji wazuri wa kwenye taifa husika bila kujali uwezo wa club yake..
mpira umenipita kando au naenda kinyume na upendavyo!!?..mi ni mwalimu wa kandanda na vyeti ninavyo,sasa sijui nani kati yetu mpira umempita kando!mpira umekupita kando aise