Kombe la Dunia Qatar sheria lukuki zinazidi kumiminika, FIFA wayakanyaga

Kombe la Dunia Qatar sheria lukuki zinazidi kumiminika, FIFA wayakanyaga

Walau Qatar wameonyesha dunia msimamo ktk Imani..
They make a difference....

Kuna upande ktk dunia umeshaoza

Sent from my CPH1933 using JamiiForums mobile app
 
Mashabiki waliokwenda QATAR kwa ajili ya kuzishangilia timu za Mataifa yao wametakiwa kuvaa vizuri na kujisitiri haswa maeneo nyeti ya miili yao, pia wameaswa kuwa michoro ya mwilini yani ‘Tattoo’ haitakiwi kuonekana maana ile sio nguo.



Kingine ni kuwa mtu yotote atakayeingia kutizama michezo ya Fainali hizo asiwe kalewa pombe au dawa za kulevya, hili ni kosa kisheria kwa nchi ya QATAR.



Chupa, vikombe, makopo au vitu vyovyote vinavyoweza kurushwa na kuumiza mtu haviruhusiwi viwanjani, pia vyakula vya aina zote haviruhusiwi labda tu awe amebebewa mtoto.



Vuvuzela zimepigwa marufuku na vitu vingine kama maputo havitoruhusiwa.



Taratibu zimeanza kutumia tangu jana Jumapili (Novemba 20) wakati wa mchezo wa Ufunguzi kati ya Wenyeji QATAR ambao walikubali kuchapwa Bakora 2-0 dhidi ya Ecuador.
 
Kobazi world cup 2022
ikifika mda wa azana mpira unasimamishwa !
muhadhara kwenye mpira!
 
Kobazi world cup 2022
ikifika mda wa azana mpira unasimamishwa !
muhadhara kwenye mpira!
Mpira unachezwa

Saa 7 Mchana muda wa Swala
Saa 10 Jioni muda wa Swala
Saa 1 Usiku muda wa Swala

Hakuna kitakachosimama, karibu Qatar!!!
 
Waarabu sio kwamba wameshika dini ili wanaogopa wananchi wao kubadilika wafanye mapinduzi
 
Mashabiki waliokwenda QATAR kwa ajili ya kuzishangilia timu za Mataifa yao wametakiwa kuvaa vizuri na kujisitiri haswa maeneo nyeti ya miili yao, pia wameaswa kuwa michoro ya mwilini yani ‘Tattoo’ haitakiwi kuonekana maana ile sio nguo.



Kingine ni kuwa mtu yotote atakayeingia kutizama michezo ya Fainali hizo asiwe kalewa pombe au dawa za kulevya, hili ni kosa kisheria kwa nchi ya QATAR.



Chupa, vikombe, makopo au vitu vyovyote vinavyoweza kurushwa na kuumiza mtu haviruhusiwi viwanjani, pia vyakula vya aina zote haviruhusiwi labda tu awe amebebewa mtoto.



Vuvuzela zimepigwa marufuku na vitu vingine kama maputo havitoruhusiwa.



Taratibu zimeanza kutumia tangu jana Jumapili (Novemba 20) wakati wa mchezo wa Ufunguzi kati ya Wenyeji QATAR ambao walikubali kuchapwa Bakora 2-0 dhidi ya Ecuador.
Wamekosea kitu kimoja kuacha mashabiki wakike na kiume na kuchangamana
Ilitakiwa mashabiki wa kike wawe na upande wao
 
Argentina
download.jpg

Hakuna mvuto kombe LA dunia
 

Attachments

  • download.jpg
    download.jpg
    5.4 KB · Views: 6
Moroko wanatutoa kimaso maso angalau tushapata cha kusimulia wajukuu wetu 2026
Mnara wa Jengo la Burj Al Khalifa lililopo Mjini Dubaï Nchini EAU limewekwa bendera ya Nchi ya Morocco 🇲🇦 baada ya Timu hiyo kuifunga Timu ya Taifa ya Ubelgiji mabao (2-0).

1669585862298.jpg
 
Hizi sheria zenu bado zinafanya kazi?

20221204_053840-jpg.2435144
 
Back
Top Bottom