Kombe la kujaza uwanja kwa kiingilio nafuu nawapa, ila hamna timu

Kombe la kujaza uwanja kwa kiingilio nafuu nawapa, ila hamna timu

Mkuu nilidhani mimi pekee ndio sijui kuutazama mpira kiufundi but na wewe kumbe umekiona nilichokiona mimi, Awa jamaa wanayo kazi ya kufanya kumpokonya yanga ubingwa, kimsingi yanga ataendelea kutetea ubingwa wake Kama kawa sijaona kabisa timu ya kumzuia kwa hiki nilichokishuhudia leo otherwise wabadilike vinginevyo wanawe mikono
Mechi za kiushindan zinaanza tarehe tisa kwenye ngao ya jamii hili Leo ni bonanza tuuu weken hakiba ya maneno Muda utaongea
 
Baada ya hype ya kukaa Uturuki wiki zote zile. Baada ya kudajili wachezaji wengi wasio kuwa kwenye mapendekezo ya mchezaji i.e Miqquisone, binafsi nilitarajia makubwa sana. Hasa dhidi ya timu dhaifu kama Power Dynamo.

Ukiachana na kujaza uwanja kwa kiingilia cha sh 3,000 jambo lililo la kushangaza zaidi ni kucheza vibaya mno dhidi ya timu ya kiwango cha chini kama Power Dynamo.

Hivi najiuliza kama Mngecheza na Kaizer Chief si mngeharibu sherehe yenu? Si ajabu baadhi ya viongozi wenu walilifahamu hilo hata wakaamua kuchagua mpinzani wa aina ile.

Kiujumla kushinda kupo, lakini mmefeli kushinda kwa style. Timu imecheza pasi na kuwa na muungano wala utaratibu wa kifilosofia unao elezeka.

Almost 80% ya wachezaji walio sajiliwa hawakuperfom kulingana na marajio ya walio kuja uwanjani. Je ni timu hii ndio mnataka kushindana kwenye "Africa Super League"..?

Je hiko ndio kikosi ambacho mnatarajio kukitumia ili kutetea mataji yaliyotwaliwa na YANGA SC? Sijaona cha ajabu kwa kweli watani zangu.

Hakuna exceptional player ambaye amefanya la ajabu katika game ya leo..?

Hata aliyefunga goli la kwanza (Nimemsahau jina lake) hana technical attribute za kucheza mechi kubwa kama vs YANGA SC, in short he lacks phisicality (he so soft). Huyo aliyefunga la pili naye ni wale wale, haja Add lolote la kipekee kwenye squad yenu.

Nimemuangalia yule beki wenu Malone naye ni wakaida sana. Hana aattribute anayo mzidi BACCA.

Kimsingi mmenichekesha zaidi mlipo achana na Beno alafu mkasajili Abel.

Aubin Kramo kama anashindwa kuperfoma kwenye game za mpinzani wa aina hii basi sitoweza kumtofautisha yeye na Crispin NGUSHI.

Kiufupi hakuna mchezaji ambaye amemzidi MAXI ZENGELI perfomance-wise.

Ni ngumu sana kuwaona/kutarajia kama mtatoa ushindani dhidi ya Yanga SC katika msimu 2023/24.View attachment 2710346
Kaizer Chief mlicheza nao kwenye bonanza lakini sisi tulicheza nao kwenye michuano mikubwa Africa tukawafunga 3 bila kabla ya kuandika Fanya utafiti
 
Vyura mnahangaika sana
FB_IMG_1689943428813.jpg
 
Watu tulitarajia maajabu ambayo hata Yanga SC wangeshtuka.

Imekuwa tofauti.

Baada ya mechi tukacheka na kutingisha vichwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unateseka ukiwa wapiii??
 
Kwani walicheza kushindania kombe?Ile ilikuwa ni mechi ya kirafiki tu tusubiri kwenye ngap ya JAMII watakapocheza na Singida Fountain Gate ndio tutajua kama wamo ama hamna kitu
 
Baada ya hype ya kukaa Uturuki wiki zote zile. Baada ya kudajili wachezaji wengi wasio kuwa kwenye mapendekezo ya mchezaji i.e Miqquisone, binafsi nilitarajia makubwa sana. Hasa dhidi ya timu dhaifu kama Power Dynamo.

Ukiachana na kujaza uwanja kwa kiingilia cha sh 3,000 jambo lililo la kushangaza zaidi ni kucheza vibaya mno dhidi ya timu ya kiwango cha chini kama Power Dynamo.

Hivi najiuliza kama Mngecheza na Kaizer Chief si mngeharibu sherehe yenu? Si ajabu baadhi ya viongozi wenu walilifahamu hilo hata wakaamua kuchagua mpinzani wa aina ile.

Kiujumla kushinda kupo, lakini mmefeli kushinda kwa style. Timu imecheza pasi na kuwa na muungano wala utaratibu wa kifilosofia unao elezeka.

Almost 80% ya wachezaji walio sajiliwa hawakuperfom kulingana na marajio ya walio kuja uwanjani. Je ni timu hii ndio mnataka kushindana kwenye "Africa Super League"..?

Je hiko ndio kikosi ambacho mnatarajio kukitumia ili kutetea mataji yaliyotwaliwa na YANGA SC? Sijaona cha ajabu kwa kweli watani zangu.

Hakuna exceptional player ambaye amefanya la ajabu katika game ya leo..?

Hata aliyefunga goli la kwanza (Nimemsahau jina lake) hana technical attribute za kucheza mechi kubwa kama vs YANGA SC, in short he lacks phisicality (he so soft). Huyo aliyefunga la pili naye ni wale wale, haja Add lolote la kipekee kwenye squad yenu.

Nimemuangalia yule beki wenu Malone naye ni wakaida sana. Hana aattribute anayo mzidi BACCA.

Kimsingi mmenichekesha zaidi mlipo achana na Beno alafu mkasajili Abel.

Aubin Kramo kama anashindwa kuperfoma kwenye game za mpinzani wa aina hii basi sitoweza kumtofautisha yeye na Crispin NGUSHI.

Kiufupi hakuna mchezaji ambaye amemzidi MAXI ZENGELI perfomance-wise.

Ni ngumu sana kuwaona/kutarajia kama mtatoa ushindani dhidi ya Yanga SC katika msimu 2023/24.View attachment 2710346
Umeandika vizuri ila umemkosea yule beki Mkameruni Yuko vizuri sana. High class defender Kwa nchi hii hakuna kama atacheza vile.
 
Timu hii siyo dhaifu kama unavyofikiria. Timu hii iliwatungua ZESCO utd ya hakina KAPUMBU mara mbili katika ligi yao . Hao hakina KAPUMBU ndiyo waliowapumbu na kuwafikisha kileleni mwaka juzi kwenye siku yenu. Usijisahulushe.
 
Ukiona wapinzani wanalalamika sana jua dawa imeingia hao keizer chiefs ile siku wamemchezesha hadi C.E.O bado mlikua mnahangaika tu kuwafunga.. na nakukumbusha hao keizer chiefs tulishakanda tatu bila sisi.
 
UJINGA BWANA.

UNAWEZA UKUTE HUJUI MAANA YA PRE SEASON.

NI MAZOEZI MAGUMU MNO YA MISULI.
AKILI.
PUMZI.
CHAKULA.
DAWA.
MATIBABU NK.

Miwili ya Wachezaji pale walipo ni migumu mno miwili itaanza kurudi KAWAIDA Baada ya week mbili.

Pre season si mbinu za mazoezi ya mchezo ni mbinu za mwili kuwa fiti.
 
Back
Top Bottom