sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nelly alishawai kuimba
Nini kinahitajika kuwa namba moja
Wa pili sio mshindi
Wa tatu hakuna anaemkumbuka
Ukiwa namba moja
Watakaa na kuiandika hata wakichukia
Basi ndivyo ilivyo na kwenye haya mashindano ya caf interclubs (mabingwa na shirikisho).
Kwa level ya timu zetu hizi ni ndoto kuja kuchukua caf mabingwa, zaidi zaidi tukifika mbali basi ni nusu fainali,
Uhakika zaidi upo kwenye shirikisho tu
Yanga na simba wajiengue mapema huko kwenye mabingwa, ataeleta kombe ndie aanze malengo mapya ya huko mabingwa.
Nini kinahitajika kuwa namba moja
Wa pili sio mshindi
Wa tatu hakuna anaemkumbuka
Ukiwa namba moja
Watakaa na kuiandika hata wakichukia
Basi ndivyo ilivyo na kwenye haya mashindano ya caf interclubs (mabingwa na shirikisho).
Kwa level ya timu zetu hizi ni ndoto kuja kuchukua caf mabingwa, zaidi zaidi tukifika mbali basi ni nusu fainali,
Uhakika zaidi upo kwenye shirikisho tu
Yanga na simba wajiengue mapema huko kwenye mabingwa, ataeleta kombe ndie aanze malengo mapya ya huko mabingwa.