Kombe la Mapinduzi: Hongereni watani, lakini haimaanishi ulikuwa bora zaidi yangu.

Mfungwa hachagui jela wala adhabu. Anangojea hukumu akipewa anakwenda alikopangiwa. Umepangiwa kuwahi boti. Mmekimbia mpaka interview. Jifariji.

vipi wewe ndugu yangu! kwani wenzetu mtawahi usafiri wa barabara! niambie mtarudi na nini kutoka huko..

unanichekesha sana, hasa kwa kuwa hujui kipi kinachotarajia kukutokea.

Mwisho wa siku, "utakachojivunia pekee kutoka huko Zanzibar ni kupata bahati ya kumtoa Bingwa wa Kihistoria wa tanzania Bara kwenye michuano hiyo."
 
Aliyekubaka humjui basi utakuwa sugu weye.Ndio maana umezoeleka umekuwa jamvi la kila mtu.
Haikupasi kutumia lugha kali kiasi hicho Mkuu, hasira unapata wapi ungali umefuzu kuelekea fainali.

by the way! kuhus Jamvi la wageni.

Kama Jamvi la wageni amekuwa akikuwakilisha kimataifa kwa muada wa miaka 5 ungali upo hapa nyumbani ukipika, je wewe utakuwa jamvi la nani sasa?

ni swali gumu sana nimeuliza, sidhani kama unaweza lijibu kwa hoja kamilifu.
 
Mkuu kama wanaume wa Zenji wamekushinda.. utawaweza wanaume wa Africa kweli??
 
Mkuu kama wanaume wa Zenji wamekushinda.. utawaweza wanaume wa Africa kweli??
Mkuu naomba unisaidie kutofautisha kati ya wanaume wa 'Zenji' na wanaume wa 'Tanzania Bara'.

Mimi najitambua kama Mwanaume wa Tanzania Bara! mambo niliyokuwa nayafanya Bara kwa kipindi cha miaka 5 hii ya karibuni yana akisi nisemacho.

sidhani kama na wewe utajiita ni mwanaume wa Bara, endapo ukiniambia kuwa wewe ni mwanaume wa 'visiwani' sitakubishia. Kwa kuwa ni hadhi yako kuwa mwanaume bora kati ya wanaume bora dhaifu.
 
Simba Fc Vs Young Africans - Nusu Fainali Mapinduzi Cup 2017 Zanzibar

Source: Utamu
 
Wewe umeshapigwa faster vya kutosha najua kunawaka moto kaa mahali ujipooze acha kujifariji kinafiki
 
We jamaaa bado unaongea pumba zako umesahau ulisemaje mwanzon
 
Huyo pumba jazz band. Ni kifaa hasa.
Ni mtambo wa haja haswa.
 
Kwan huko mnako kuita ligi kuu ni nani yuko kilelen?
 
Huyu jamaa na utabiri wake wa manjonjo bado tu hana aibu?Nilisema tulia uchukue hilo kombe,matokeo umeyaona.Yanga haitishi ila yanga ni TFF.Haki ikiwepo hata nafasi ya nane hushiki wewe.Timu siasa tu hiyo! Nyamaza kaoge,tumechoka shombo sie.
 
Kwani anayekuwa mkiani ndio huwa anakuwa bingwa?Au dunia yako ipo up side down?Anayekuwa kileleni ndio bingwa.
 
Nimekutafuna mtani hata ufanye nini matokeo hayabadiliki..
Naona unatafuta namna ya kujifariji,vuka maji nisubiri naja kukutafuna tena bara sitakagi ujinga kabisa....
Simba nguvu moja!!!
 
Kubishana na hawa Mikia FC ni kazi bure vyema kunyamaza.
 
Hivi wewe unavuta bhangi?
 

Mkuu!

Omba radhi kwa kuenenda kinyume na kanuni za kimichezo.

haiwezekani useme Mapinduzi Cup ni shindano la wanaume alafu Klabu Bingwa Barani Afrika ni shindano la 'akina Dada!
Hii kaul tuliikataa toka mda, ulitumia nguv yote, ulichezesha kikoc chote why muanz kulinanga shindano? Upuuz huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…