Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Nako tunakutundikaHahahaaa. Wacha tu Mtani.
Ila bado sikomi. Nahamia Al Ahaly sasa. [emoji2][emoji2]
Hatuwezi teswaNimesharudi Mkuu. Kwani Watani zangu mnateseka? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mmmh.Hatuwezi teswa View attachment 992970
Juzi Simba, jana Simba, leo tena SimbaMmmh.
Mnakoelekea hazitakuwepo tena hizi.Juzi Simba, jana Simba, leo tena Simba
Utajionea tuMnakoelekea hazitakuwepo tena hizi.
Tuombe uzimaUtajionea tu
Kama rahisi vileNako tunakutundika
MzimaHahaaa. Kwenye Utani wa jadi huwa hata sijui uzalendo unakaa wapi. Nitakwenda Taifa kwa lengo kuishangilia JS Saoura.
Mechi saa ngpAzam leo ataingia kwa hofu sana, anaweza kupoteza mchezo
Mie Alhmdulillah niko poa. Niaje?
Pole
Hahaa. Habari zenu tunazo
Hahaaa. Tunaachaje sasa.